Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, ile wiki ya Maandamano awamu ya kwanza, inahitimishwa leo, ambapo Mjini Morogoro kunafanyika maandamano yenye lengo la kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za...
Hapa Tanzania na nchi nyingi za kiafrika bunge na mahakama vipo kama mapambo tu na hutumika na wanasiasa wakitaka kufanya mambo yao. Inashangaza jinsi watanzania wengi wasivyojua haki zao na...
Kwa mfano baba au mama anataka kutoka na mtoto mmoja katiks familia kwa ajili ya maongezi maalumu yanayomhusu huyu mtoto. Akaamua kuwa leo fulani tutaenda kutembelea chuo kikuu DSM nyie wengine...
Katika shughuli zangu za kimaendeleo, leo nilikuwa nachunga ng'ombe wangu karibu na pori ambalo lipo hapa kijijini kwetu.
Mara kwa mbali nikamuona mwanamke ambaye nishawahi kumtongoza siku za...
Kwa kweli mzee wa watu anatia huruma hana wa kumsemea ameamua kunyamaza, ila nadhani akifungua mdomo Tina atatafuta pa kujificha.
Tina kila siku ni kumchamba mzee wa watu, yaani ukae kwenye ndoa...
Nimeikuta mahala na nina inukuu kama ifuatavyo
NAMNA WAZAZI WANAVYOONGEA NA MABINTI ZAO KATIKA UMRI TOFAUTI.
Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya sana.
Miaka 16. Sitaki kukuona na yule kijana...
Nimepita YouTube nikakutana na mwaidha ya sheikh mmoja anayeitwa Dr. SULLE, ukimsikiliza kwenye video anasema Ibrahimu alikuwa Muislam, sijui na Hekalu lilikuwa la waislamu, na wakati huo huo...
Nimefka umri halali kua na atleast mchumba ama mtu wa karibu mwenye na direction ya kuweza kuolewa.Cha kusikitisha kila nikijaribu kujenga ukaribu kwa wadada baada ya muda wananijibu tayari nina...
Najua Mijuha ( Fools ) watakuja hapa Kunishanga na Kunishambulia ila kwakuwa huwa najiamini kwa kile ambacho nakisema na nakimaanisha wala sitojali. Narudia tena Mpambe yoyote yule wa Rais ( ADC )...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.