Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile jumapili iliyopita wamati wa ibada katika kanisa lake linalojulikana kama, 'Kikosi kazi cha injili', alimuita mmoja wa waumini wake kijana anayeitwa Eliya na...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Bongo kweli nyoso mvua zote hizi siku sijui ya ngapi hatuna maji, Haya maji mengi kwamba mnavyojenga sehemu za kuvuna maji mliwaza kuwa sio zote ni kiangazi Kuweni serious wengine basi, bomba...
1 Reactions
5 Replies
6 Views
Wanabody hili ni wazo kwakuwa hili liliwai kufanyika miaka ya 2013-14 na liwa na mafanikio makubwa sana nakumbuka lilifanyika pale Kebby'es na nyingine ikafanyika Escape one. Namimi nikiwa moja...
51 Reactions
1K Replies
13K Views
Wadau nawasalimu.Najua kulikubali hili mpaka uwe na akili kubwa. Mwekezaji Mo Ana asilimia 49 ya Hisa na Wanachama wana asilimia 51 Swali la Msingi 1.Je thamani ya Asilimia 49 za Mo zina Thamani...
1 Reactions
5 Replies
24 Views
NAMUNGO vs SIMBA | kabumbu itasakatwa leo saa 12:00 jioni katika Dimba la Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi. Jongea kwenye uzi huu, kunyaka kitakachojiri kabla na wakati wa mchezo. Unadhani nani...
4 Reactions
278 Replies
8K Views
Kwa maelezo ya wataalam ni kuwa karibu watu wote wa zanzibar wametokea bara kiasili. Kwenda wenyewe, kupelekwa na waarabu, au walowezi kutoka bara asia (wachache). Kwa namna Tanzania...
1 Reactions
15 Replies
137 Views
Tuliozoe Chadema wakiguswa , Marekani anatoa kauli . lkn hivi sasa yanatokea Marekani wanafunzi wanondamana na kuchezea mkongoto sidhani Mareakni anaweza kusimama kukemea nchi nyengine raia wake...
0 Reactions
25 Replies
126 Views
Dunia inaelekea kwenye magari ya umeme. Cha kushangaza sisi bungeni tunahangaika na kuweka mifumo ya gesi kwenye magari. Miaka ishirini mbele maga karibu yote yatakuwa ya umeme. Habari ya magari...
0 Reactions
14 Replies
202 Views
Asilimia 99% Video za Ngono zinazosambazwa basi aliyevujisha ni Mwanaume. Wanaume tumekuwa watu Wapumbavu na Wabinafsi kupita maelezo hivi unawezaje kumrecord mwanamke then unavujisha hili...
39 Reactions
242 Replies
19K Views
Ukweli ndio huo Watanganyika hua mnafuata nini zanzibar? Mbona sioni sababu ya msingi ya ninyi kwenda huko na sioni mnalofuata huko, Bakini kwenu mjenge kwenu wale wakija wakaribisheni, wala...
4 Reactions
30 Replies
135 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,935
Posts
49,532,756
Members
667,285
Latest member
gee dara 2024
Back
Top Bottom