Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile jumapili iliyopita wamati wa ibada katika kanisa lake linalojulikana kama, 'Kikosi kazi cha injili', alimuita mmoja wa waumini wake kijana anayeitwa Eliya na...
Bongo kweli nyoso mvua zote hizi siku sijui ya ngapi hatuna maji,
Haya maji mengi kwamba mnavyojenga sehemu za kuvuna maji mliwaza kuwa sio zote ni kiangazi
Kuweni serious wengine basi, bomba...
Wanabody hili ni wazo kwakuwa hili liliwai kufanyika miaka ya 2013-14 na liwa na mafanikio makubwa sana nakumbuka lilifanyika pale Kebby'es na nyingine ikafanyika Escape one.
Namimi nikiwa moja...
Wadau nawasalimu.Najua kulikubali hili mpaka uwe na akili kubwa.
Mwekezaji Mo Ana asilimia 49 ya Hisa na Wanachama wana asilimia 51
Swali la Msingi
1.Je thamani ya Asilimia 49 za Mo zina Thamani...
NAMUNGO vs SIMBA | kabumbu itasakatwa leo saa 12:00 jioni katika Dimba la Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi.
Jongea kwenye uzi huu, kunyaka kitakachojiri kabla na wakati wa mchezo.
Unadhani nani...
Kwa maelezo ya wataalam ni kuwa karibu watu wote wa zanzibar wametokea bara kiasili. Kwenda wenyewe, kupelekwa na waarabu, au walowezi kutoka bara asia (wachache).
Kwa namna Tanzania...
Tuliozoe Chadema wakiguswa , Marekani anatoa kauli . lkn hivi sasa yanatokea Marekani wanafunzi wanondamana na kuchezea mkongoto sidhani Mareakni anaweza kusimama kukemea nchi nyengine raia wake...
Dunia inaelekea kwenye magari ya umeme. Cha kushangaza sisi bungeni tunahangaika na kuweka mifumo ya gesi kwenye magari. Miaka ishirini mbele maga karibu yote yatakuwa ya umeme. Habari ya magari...
Asilimia 99% Video za Ngono zinazosambazwa basi aliyevujisha ni Mwanaume. Wanaume tumekuwa watu Wapumbavu na Wabinafsi kupita maelezo hivi unawezaje kumrecord mwanamke then unavujisha hili...
Ukweli ndio huo
Watanganyika hua mnafuata nini zanzibar?
Mbona sioni sababu ya msingi ya ninyi kwenda huko na sioni mnalofuata huko,
Bakini kwenu mjenge kwenu wale wakija wakaribisheni, wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.