Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwa kweli mzee wa watu anatia huruma hana wa kumsemea ameamua kunyamaza, ila nadhani akifungua mdomo Tina atatafuta pa kujificha. Tina kila siku ni kumchamba mzee wa watu, yaani ukae kwenye ndoa...
35 Reactions
200 Replies
4K Views
Wakuu hii ikoje, Si WhatsApp si twitter kila siku lazima nione vijana timamu kabisa kupotea wengine wanafunzi wengine wafanyabiashara. Au mimi ndiyo naweweseka
1 Reactions
17 Replies
303 Views
mtaani, ofisini na kwenye mishemishe watu wanakuheshimu kama baba Paroko .. Ila moyoni unasema laiti wangejua ! Wasingenipa hata hizo heshima (simaanishi wakudharau) Ila unajikuta watu...
4 Reactions
6 Replies
77 Views
Mimi najutia nilifanya investment badala ya kufanya savings. Mwisho wa siku biashara zimekufa sina savings hata moja. Najutia kutonunua viwanja pesa yote nikaweka kwenye miradi ambayo yote...
6 Reactions
17 Replies
110 Views
Moja kati ya vitu vizuri na kuvutia zaidi ni kuona jina zuri aliloku sev mwandani wako Mbali na kutia faraja ila pia huleta hari kujihisi furaha kwa mwenza Je umesev vipi jina la kipenzi chako...
5 Reactions
226 Replies
2K Views
Wakuu bila shaka mnaendelea vyema. Baada ya kuwaza Thread 'Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?' Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada? Nikaona thread ya jamaa humu akielezea kwamba unaweza...
3 Reactions
18 Replies
176 Views
Katika watu wanaotumia muda vizuri kwenye uongozi ni Mh. Makonda. Anahakikisha akiwa kwenye uwanja wa mchezo wa uongozi wake anajizolea point tatu mapema kabisa. Wanaotoa point za mchezo katika...
1 Reactions
5 Replies
259 Views
1st leg, ALIANZ ARENA STADIUM Mzunguko €19= Tsh 52,744 VIP € 160= Tsh 416,400 2nd leg, ESTADIO SANTIAGO BERNABEU Mzunguko € 125 = Tsh 347,000 V.I.P € 445 = Tsh 1,235,320
2 Reactions
20 Replies
321 Views
“Nimesikitishwa na nimeshangaa kauli iliyotolewa na ndugu yangu msomi mwanasheria, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA , akiwahutubia wananchi na ametumia maneno ya ubaguzi huwezi kiongozi makini tena...
1 Reactions
5 Replies
38 Views
Wakuu, habari za muda na wakati huu. Katika harakati za maisha na kujitafuta unakuta umesoma Elimu nyingine ila mpenyo wako ulipata ulipo amua ku step up nakusoma kishort kozi kikakutoa...
16 Reactions
269 Replies
16K Views

FORUM STATS

Threads
1,849,749
Posts
49,527,075
Members
667,235
Latest member
ngimbona
Back
Top Bottom