Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari zenu wanaJF wenzangu, Brother "G", huu ninaokupa ni ushauri mzuri ambao utakusaidia kukulindia heshima yako nusu uliyobaki nayo sasa hivi. Kumbuka Jimbo la Kawe ndio Jimbo namba 1 au 2...
18 Reactions
174 Replies
7K Views
Je supu ya ngozi ya ng'ombe inayouzwa maeneo ya mbagala inausalama kiafya Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika Supu ya ngozi imayochanganywa na mapupu & bandana ambayo hupelekea...
2 Reactions
7 Replies
41 Views
Salaaam Wachumi Rejea mada hapo juu Je upi ni uwekezaji ulio bora endapo katika harakat zako za utafutaji ukajaaliwa umeishika 30Mil cash Na option ukawa umeweka ni hizo mbili kati ya kuwekeza...
11 Reactions
96 Replies
7K Views
Waziri wa Habari na Tenkolojia ya Mawasiliano, Nape Nnauye amelaani vikali kauli iliyotolewa na Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu kuhusu madai ya kuwaondoa Wamasai wa Ngorongoro kisa yeye...
2 Reactions
3 Replies
4 Views
Nikiangalia ujezi wa reli ya SGR naona una track moja tu inayotoka Dar es Salaam mpaka Dodoma na ujenzi wa kwenda maeneo mengine kama Mwanza na Kigoma ukiendelea. Kuna matarajio makubwa sana...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wakuu mimi ni mume ambaye tumezaa mtoto mmoja na mke wangu ndoa yetu ina miaka zaidi ya mi4 mpaka sasa. Ukweni kwangu yaani familia ya wife imekuwa ikinisaidia saana ILA TATIZO WIFE SASA HUWA...
5 Reactions
17 Replies
149 Views
Jenerali Ulimwengu amefanya tafakuri kuhusu nishati ya mafuta na gesi katika kufanikisha usafiri nchini. Kwa tathmini yake amebaini wamiliki wa vituo vya mafuta wapo mstari wa mbele kukwamisha...
5 Reactions
27 Replies
627 Views
Muuza madafu amehojiwa na Ayo Tv na kusema yeye Siyo yule Komandoo ila ni Kweli wanafanana Muuza madafu amesema yeye anacheza kareti na boxing na anatamani sana kujiunga na mambo ya Ulinzi kama...
22 Reactions
189 Replies
8K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
512K Replies
29M Views
KILA MTU MUWEKEE UKOMO WA KUKUFAHAMU. 1.Kuna watu waishie kujua majina yako tu. 2.Kuna watu ruhusu wafahamu zaidi ya majina yako. 3.Kuna watu zuia kabisa wasijue chochote kuhusu familia yako...
7 Reactions
13 Replies
149 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,563
Posts
49,522,946
Members
667,164
Latest member
REBAMS
Back
Top Bottom