Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mm kunichekesha si rahisi sana ila hawa madogo wanaitwa MABANTU Leo nimeona video yao inaitwa Mali safi nimecheka. Safi vijana tumechoka tu kuona vixen wenye chura kwenye video za bongo.
0 Reactions
6 Replies
506 Views
TAMBUA UNYWAJI SAHIHI WA POMBE Kitu cha msingi kwenye pombe siyo kujua aina ya beer au kilevi. Kitu cha msingi ni kujua percentage of pure alcohol (asilimia ya pombe halisi) na ujazo wake (...
33 Reactions
115 Replies
4K Views
Kiongozi Mkuu wa ACT WAZALENDO, Zitto Kabwe, katika maelezo yake amedai kwamba walifikia Makubaliano na Mbowe ili yeye achukue uenyekiti wa Chadema baada ya Mbowe, Amezungumza mengi , lakini...
3 Reactions
13 Replies
307 Views
Askari polisi wa Tanzania wamekuwa chanzo cha maumivu ya watu na familia nyingi sana hapo bongo , ni ajabu iliyoje kuona chombo cha dola ambacho ndio kilipaswa kuwa mstari wa mbele kulinda raia na...
88 Reactions
285 Replies
17K Views
Yuko wapi huyu mwamba alifanya jahazi kuwa kipindi kizuri sana ni muda sijapata kumsikia popote pale.. Je alikuwepo kwenye msiba wa G??
1 Reactions
6 Replies
425 Views
Huwa nawaza hawa watumishi wa umma wanapatikanaje aisee ukienda ofisi za umma licha ya kuwa na majibu ya hovyo bado unakuta mtu amevaa sijui nini msabato siyo msabato tabu tupu angalia mabenki ya...
0 Reactions
7 Replies
83 Views
1. Ni Joe Biden Marekani, au Bibi Israel? Kumbe wapi kuna kalika? 2. Kwamba wao ni kama kwetu na Muroto hawa ndugu wakimnyooshea vidole jiwe, dhidi ya migomo na maandamano; kumbe na wao, ni...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nimepokea, taarifa usiku huu za rafiki yangu aliyepatwa na msiba mwishoni mwa mwaka jana na kuzika January mwaka huu. Ni mtumishi wa serikalini kapatwa na msiba ghafla akaenda kukopa Bank ya ABC...
15 Reactions
144 Replies
6K Views
Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa. Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki. Wapo...
52 Reactions
528 Replies
26K Views
Generali Ogolla wa Kenya, alifariki katika mazingira ya kutatanisha. Swali linalokuja ni: Je, serikali ilihusika? Na ikiwa hapana, Je, Kenya itajikuta lini kwenye hatari ya mapinduzi ya kijeshi...
1 Reactions
6 Replies
144 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,128
Posts
49,509,013
Members
666,980
Latest member
nyamwitanga
Back
Top Bottom