Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Breaking: Benchika ameachana rasmi na Simba SC baada ya makubaliano ya pande zote mbili. Credit by crown media #CrownSports ---- Kocha mkuu wa Simba Abdelhak Benchikha pamoja na wasaidizi wake...
8 Reactions
51 Replies
2K Views
Unapopanda gari la umma kama kiongozi mwenye dhamana jiandae kisaikologia pia kushuka na kuwa RAIA wa kawaida. Tunategemea kupata mabadiliko makubwa katika nyanja ya kisiasa kuanza mwezi Mei,2024...
3 Reactions
11 Replies
12 Views
Mzuka wanajamvi Nipo hapa naandaa script ya movie bonge la movie ambayo itateka gumzo la kila mtu nchini. Jina la movie Muuza madafu encounter freedom. Ni hivi. Inaanza magaidi kutoka msumbiji...
5 Reactions
9 Replies
83 Views
  • Sticky
Full name: Arsenal Football Club Nickname(s): The Gunners Founded: 1 December 1886 League: Premier League Website: arsenal.com Ground: The Emirates Stadium, (Capacity: 59,867) - Pitch...
139 Reactions
155K Replies
8M Views
Nina shida na Viyoo vya Rangi mbalimbali kadirio ni sheet 16. Mwenye navyo naomba tuwasiline.
1 Reactions
2 Replies
156 Views
Habari wakuu Najua JF ni kisiwa cha habari na maarifa pia kumekuwa na nyuzi nyingi ambazo sisi kama member tumekuwa tunazisoma. Basi mkuu ni hivi, wewe kama mwanaJF uzi gani ulikuvutia sana na...
7 Reactions
49 Replies
438 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
512K Replies
29M Views
Anajijua yeye ni mchepuko jana kanifumania na mwanamke mwengine akaniletea vurugu! Akaniita mimi mwanaume malaya haikutosha akaniita mimi "kenge maji!" kitu hichi kiliniuma sana nikamvuta...
5 Reactions
21 Replies
343 Views
Kama ofisini kwako kuna kiongozi anaanza kazi muda ambao ninyi mnatoka ofisini lazima atakuwa na sifa zifuatazo 1. Ni mzizi na hivyo usubiri watumishi watoke ndipo afanye uzinzi aidha na...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nilipata muwasho mkali sana mwilini nikapewa tubes za kupaka, cetrizine na predisolone ila bado hali haikubadilika. Nikaenda nika pata vipimo vya full blood picture na uric acid. Bloodpicture...
2 Reactions
10 Replies
520 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,295
Posts
49,514,401
Members
667,046
Latest member
Koroberaga
Back
Top Bottom