Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wanasimba wamekuwa wakidanganyika na viongozi wao wakiwahadaa ati wao ni mabingwa wa community shield, ambao sio kweli Wataambia kesho eti wamekuwa mabingwa wa Muungano ambao sio kweli Wanasimba...
0 Reactions
2 Replies
30 Views
Muuza madafu katika Moja na mbili😊
16 Reactions
60 Replies
631 Views
1. Kuwa na uhusiano wa kingono na mwingine (sexual cheating). Huu wengi mnaujua. Na ndio kiwango cha juu kabisa katika udanganyifu. Lakini zipo aina nyingine. 2. Kuficha mapato na matumizi...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Sasa tutaendelea kuwaletea taarifa za Watuhumiwa hawa kila baada ya muda mfupi , maana wanahamishwa hapa na pale kama Adamoo , Mbinu za Polisi wa Tanzania ni zilezile tangu mkoloni
5 Reactions
55 Replies
2K Views
Mwaka 1991 wakati USSR inavunjika mataifa kadhaa yaliyokuwa yanaunda umoja huo yalikuwa yanamiliki silaha za nyuklia na makombora ya masafa marefu. Ukraine lilikuwa ni taifa mojawapo lililokuwa...
15 Reactions
82 Replies
2K Views
Salaam, Shalom. Samahani Kwa waliozaliwa 2000+, Miaka ya 90 kurudi nyuma, yalikuwepo majiko ya umeme katika nyumba nyingi za watumishi wa umma, mapolisi, mahakimu, bankers, watoza ushauri...
12 Reactions
65 Replies
565 Views
Hata kama wazazi hawajawahi kwenda kwa waganga, Mtoto akiumwa hospitali zikishindwa kutibu, wazazi huamini karogwa, baadhi ya madaktari husema "mjiongeze" biashara mambo ya ulinzi wa kuzindika...
0 Reactions
4 Replies
5 Views
Salamu Wakuu, Nimegundua Suala la uaminifu bado ni changamoto kubwa sana hapa nchini Hivi karibuni kumekuwa na malalamiko mengi ya watu kupatiwa fedha pungufu kila wakichukua hela kupitia kwa...
4 Reactions
52 Replies
1K Views
Mitaa yetu pamoja na mvua kuathiri maeneo yote ikiwemo miundombinu bado kuna baadhi ya wahuni wanafurahia Hali hiyo ya mvua maana ni fursa kwao
10 Reactions
40 Replies
1K Views
1. Gaza ni kaeneo kadogo ka size ya kinondoni, ilala au temeke huko; kigamboni, bagamoyo, Pemba au Mafia ni kukubwa mno kuliko Gaza. 2. Vi kinondoni, ilala, au temeke huko ni vi mikoa vya...
13 Reactions
56 Replies
804 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,871
Posts
49,497,933
Members
666,860
Latest member
Mr Ntinginya
Back
Top Bottom