Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

MIKA MWAMBA PRODUCER ALIYEIBUA VIPAJI VYA WASANII WENGI BONGO Ngoma za huyu mwamba zilikuwa na vinanda vyenye ma-vibe ya kufa mtu: Tamara + ni wewe - Hard Mad Eno maiki - Ziggy Dee (Uganda)...
12 Reactions
38 Replies
2K Views
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa? Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500. Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa...
60 Reactions
195 Replies
9K Views
Nadhani ifike wakati serikali yetu hata kama ina wajinga wengi basi tutumie nafasi yetu kushauri badala ya kukosowa tu. Mimi si mtaalam wa mambo ya ulinzi lakini naelewa fika nimezaliwa Dar gongo...
10 Reactions
43 Replies
852 Views
Majuzi niliongelea swala moja la kushangazaaa kwa nn kila wanapokamatwa wasomali ama waethiopia atuambiwi dreva na waliohusika wamekamatwa?? mjini moshi waethippia 41 wamekamatwa wakitokea kwao...
1 Reactions
17 Replies
234 Views
Mimi sishabikii upande wowote wa hii vita ila Kwa hali ya kawaida kama kweli huwaungi mkono vijana wa hamas na ni mkazi wa Gaza si unahama kabisa kwanini Mpaka watoe taarifa kwamba muondoke nyie...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
SERIKALI YAUNDA KAMATI KUREJESHA KIMONDO KIRUDI IVUNA (SONGWE) BAADA YA KUHIFADHIWA UINGEREZA KWA MIAKA 86 "Je, lini Kimondo cha Ivuna kitarejeshwa nchini na kutumika kama kivutio cha Utalii?" -...
0 Reactions
6 Replies
94 Views
Mkurugenzi Mkuu wa Ubia kati ya Sekta binafsi na Serikali ya JMT Mhe David Kafulila akiwa kwenye kipindi Cha DAKIKA 45 kinachorusha katika runinga ya ITV ameuambia umma wa Watanzania haya...
4 Reactions
66 Replies
368 Views
Heshima kwenu, Sasa ni wazi kabisa katika Muungano wetu Wazanzibar wana uraia pacha (uRaia wa Zanzibar na uRaia wa JMT). Mosi Wazanzibar wana uRaia wa Zanzibar, kupitia sheria zao ambazo...
10 Reactions
30 Replies
762 Views
Ukiwa member wa makundi ya Whassap, ya kifamilia, ukoo, mliosoma wote primary, O-Level, High School, Chuo, Kazini, Mtaani Kuna mzigo mzito sana wa michango ya rambirambi inakungoja. Kila kundi...
20 Reactions
76 Replies
2K Views
Lissu na timu yake ile inayotaka kujitenga CHADEMA (Msigwa na John), ni Wanufaika wa Muungano wa Zanzibar na Tanganyika, Wamesomeshwa na Matunda ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
1 Reactions
69 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,852,103
Posts
49,594,845
Back
Top Bottom