mkuu tatizo ni kukurupuka soma kwa makini na uelewe what is delegation of power kabla hujahoji kuhusu evaluaton team au wajumbe wa bodi kwa utawala tulionao ktk nchi hii na mfumo [mazoea] ni vigumu kupinga maamuzi au mawazo ya bosi wako na kwamba kumbuka kamati zote zipo chini ya mkurugenzi na...
mkuu ibara 18 uhuru wa maoni sheria ya 1984 na ib.6
18-[1].bila kuathiri sheria za nchi kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake na kutafuta, kupokea na kutowa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila ya kujali mipaka ya nchi na pia ana uhuru wa mawasiliano...
Toka jikoni, TEO wa halmashauri ya mji wa Tunduma AIDANI MWANSHIGA akubali kuweka rehani kazi yake baada ya mhasibu wake ARTHUR KAFANABO kuchukua rushwa toka kampuni ya VIDOBA ya mkazi wa dsm kiasi cha sh. milioni kumi kama deposit ya kumpa zabuni ya ushuru wa usafi wa mazingira kwa magari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.