Mtu anajitahidi kuweka nchi kwenye ramani nyinyi mnaleta habari za kuturudisha tulikotoka. Sasa tunafufua shirika la ndege hamtaki, jamani tunaanza safari ya kwenda Dodoma ooh asubili hajaandaa mazingira, tunafufua na kujenga viwanda kukuza ajira ooh amekurupuka angesubili kwanza, tunaboresha...
Hanafunua makaburi huyo atashindwa kuyatunza. Ni vizuri nchi ikawa na sera ya kudumu ya elimu. Tutaondoa confusion za wanasiasa kuhusu mwelekei sahii wa elimu nchini. Tunashindwa kumaintain standards kwa sababu ya kukosa sera ya kudumu ya elimu.
Du ujumbe wako umenifikia kipindi muhafaka tena kipindi kigumu sana. Kiburi na jeuri ya mke naona ndoa ipo dakika za majeruhi ntaivunja. Huyu wangu kiburi ni phenomenon yake nimemvumilia kitambo sana. Nimeambiwa kauli zifuatazo : wewe una akili ndogo, mbona unaongea pumba? na mambo yako ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.