Recent content by Zuriiii

  1. Zuriiii

    Wapi nitapata mwanamke bikra nioe?

    Watafuta bikira na wewe mwenyewe bikra?? Au umeshachafua huko kisha unawakimbia??
  2. Zuriiii

    Ikiwa Kanisa lina mlinzi ambaye ni mwanadamu iweje Watu waombe Ulinzi kwa mungu aliyeshindwa kulinda nyumba yake?

    Inategemea unaabudu dini gani ndugu. Angalia usije ukajuta mbele ya safari
  3. Zuriiii

    Ujumbe wangu kwa wanasiasa wote waislam

    Itaachaje kukua mnazaana km panya, na sasa wenye nchi zao wanaamua kuchagua viongozi radicals kazi mnayo yajayo yanafurahisha
  4. Zuriiii

    Ujumbe wangu kwa wanasiasa wote waislam

    Kwahyo sasa hv mayahudi wameacha kusubiri au bado wanaendelea??? Na hao waKristo walikuaje waKristo km bado waliendelea kusubiri hata baada ya Kristo kuja na wao kumpokea ??? Hv unasoma unavyoandika au unajiandikia tu sababu una muda wa kuandika???
  5. Zuriiii

    Kama JWTZ halitowaomba Radhi Raia wasio na Hatia WALIOTESWA KINYAMA na MP wa Lugalo Juzi, nawashauri walishtaki Jeshi

    Na wahuni nao wana namna yao ya kudeal na wanajeshi km Muna na wewe. Acheni kutia petrol kwenye moto. Siku zote polisi ndo mgomvi wa raia na mtetezi ni mwanajeshi naona mmeamua kugombana na raia sijui nidhamu ya wapi? Ushamba, kukosa maadili na shule ndogo inasumbua wengi wenu. Sent from my...
  6. Zuriiii

    Kawe leo hii kuanzia Saa 1 hadi Saa 3 Usiku kulitokea nini hadi MP wa JWTZ Kufurika, Kukamata Watu, Kutembeza Kichapo na Kuzua taharuki?

    Mpige makofi ule bisibisi ya moyo ukapigiwe saluti na mizoga huko makaburini. Maisha hayana ubabe hekima na nidhamu binafsi ni Heri kuliko. Haya kafaidika nn na mibao yake??? Mvuta bangi always maisha yake ni km mfu kila siku bora ya jana haya huyo kaacha cheo, mke, familia, mshahara mzuri na...
  7. Zuriiii

    Kawe leo hii kuanzia Saa 1 hadi Saa 3 Usiku kulitokea nini hadi MP wa JWTZ Kufurika, Kukamata Watu, Kutembeza Kichapo na Kuzua taharuki?

    We jamaa unaonekana mshamba, mjinga halaf huna self discipline,. Endeleeni na ubabe Wa kifala kila mtu amuheshimu mwenzie nchi sio yenu tu. Raia wakichoka tutayasikia mengi na ushamba wenu. Kataa kubali hasara ni kwa huyo aliyekufa huyo boda anaishi km kafa hana cha kupoteza haya afande...
  8. Zuriiii

    Kawe leo hii kuanzia Saa 1 hadi Saa 3 Usiku kulitokea nini hadi MP wa JWTZ Kufurika, Kukamata Watu, Kutembeza Kichapo na Kuzua taharuki?

    Wapumbavu tu hata wakimuua huyo dogo mpumbavu mwenzao atafufuka? Imeisha hyo na waKae chonjo shida ya afya ya akili ni halisi watu wanaua tu.
  9. Zuriiii

    Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

    Kwani nyie omba omba mpka mpewe misaada? Wabongo mna vituko sana
  10. Zuriiii

    Ni sababu zipi zinazofanya kupotea kwa Ben Rabiu Saanane lionekane ni jambo dogo mbele ya vyombo vya dola?

    Kumbe unajua kila kilichofanyika kafungue kesi basi,
  11. Zuriiii

    Kama una shida ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui

    Sasa msikitini kuna nn cha kujisevia??? Hujui kuna makanisa wanatunza vyombo vya gharama vya kusevia madhabahu? Au Umewahi kusikia msikitini kumevunjwa na kuibiwa km ilivyo makanisani?? Je ukiacha watu walale kiholela unaziaminije nia na dhamira zao???
  12. Zuriiii

    Mimi ni Mkristo mlokole, nimeanza kukosa Imani na ukristo nahisi Uislam ndiyo dini ya kweli

    Hakuna mkristo asiyeamini YESU ni MUNGU. Narudia tena HAKUNA.... anayeamini hvyo si mkristo na wala hajui fumbo la utatu mtakatifu yani Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu. Period
  13. Zuriiii

    Kwa Tukio lililomtokea Mama yangu 2009, Nimetokea kuuheshimu sana Ukristo na Wakristo wote

    Juha wewe unaropoka hapa bila ushahidi. Na hata ukipata utakazana kubisha tu ili uonekane wa maana. Mjinga ni ww na hao ndugu zako ktk imani wanaomtajirisha mwampopo
  14. Zuriiii

    Kwa Tukio lililomtokea Mama yangu 2009, Nimetokea kuuheshimu sana Ukristo na Wakristo wote

    Ndo ndugu zako sasa hao ambao hata WAKRISTO wenyewe wanawashangaa wanavyojazana.
Back
Top Bottom