Recent content by zungu santana

  1. zungu santana

    Hewa chafu kutokaukeni

    Share....... HEWA CHAFU KUTOKA UKENI hili ni tatizo linalowakumba WANAWAKE wengi sana tena sanaa na wanashindwa wafanye nn kulitatua na pia wengi wao hawajuwi ni kitu ganikinasababisha hali hiyo. Na tatizo hili zaidi hutokea mnapokuwa mnafanya mapenzi hasa ile style maarufu mbuzi kagoma...
  2. zungu santana

    Kamanda Mambosasa: Aliyemjeruhi Meja Jenerali mstaafu, Vicent Kariongo kwa risasi auawa

    Kazi nzuri kwa jeshi la polis Ila swala lakutaja jina la informer ni hatari kwake Pili - kama mmejuaje kama ndo jambazi aliye mpiga risas meja mstaaf JWTZ Tatu - kama mmefanikiwa kuwapata hao Mtusaidie bas na walio mteka Ben Saa 8 Maana huyu mwingine mmetuzuia tusimzungumzie Sent from my...
  3. zungu santana

    Nyumba inapangishwa

    Bei ni Lak tano kwa mwezi
  4. zungu santana

    Nyumba inapangishwa

    Bei ni Lak tano kwa mwezi
  5. zungu santana

    Nyumba inapangishwa

    Nyumba ipo Chanika Buyuni Ina vyumba vitatu master moja yenye jakuza Vyumba vyote ni self container Stoo Choo kimoja public Dyning kubwa Sebure kubwa Get na parking ya gar Kwa mawasiliano zaid Whatsap no.0711520308
  6. zungu santana

    Ethiopia iliyokuwa maskini, inajenga bwawa kubwa la kuzalisha umeme sisi Tanzania tunalala gizani

    Unaujua wimbo we're the world? Kina Michael Jackson waliimba kuichangia Ethiopia iliyokuwa inachanwachanwa na kusambaratishwa na njaa na ukame watu walikufa pamoja na mifugo hiyo ilitokea mwaka 1984 baada ya mpiga picha maarufu duniani Mohammed 'Mo' Amin pamoja na Michael Buerks kupiga picha za...
  7. zungu santana

    Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

    Wakuu habari Leo ndiyo nimepata kujua huyu kijana wa Azania ndugu Humphrey Polepole anatumiwa na ccm chini wa mwanvuli wa katiba kuupinga upinzani usiingie madarakani....Leo nimepata kufuatilia kipindi cha television flan chaTz chenye mada inayo husu yanayo jili sasa kuelekea uchaguzi...
  8. zungu santana

    Utata wangu

    MUHIMU.................................jaman hili la kuhakiki majina ni muhimu sana kuliko tunavofikiri maana nilikuwa ofisi cha chama chetu hapa singida mjini ukweli nimefarijika sana na jinsi walivojipanga. kuna kata ya utemini ambayo waliojiandikisha ni 5267 ila majina yaliyoko kwenye kitabu...
  9. zungu santana

    Baraza La Vijana CHADEMA (BAVICHA), Wazungumza na Wanahabari

    MUHIMU.................................jaman hili la kuhakiki majina ni muhimu sana kuliko tunavofikiri maana nilikuwa ofisi cha chama chetu hapa singida mjini ukweli nimefarijika sana na jinsi walivojipanga. kuna kata ya utemini ambayo waliojiandikisha ni 5267 ila majina yaliyoko kwenye kitabu...
  10. zungu santana

    Ufisadi na Rushwa Tanzania, Lowassa anaonewa

    - Je, wakati fedha za Mkonge kupitia mfanyabiashara aitwaye CHAVDA zinaibiwa Lowassa alikuwa waziri mkuu? Alikuwa malecela!. - Madini ya dhahabu yaliyokamatwa uwanja wa ndege wakati wa Rais Mwinyi yalikuwa ni madini ya Lowassa? - Wakati Akasha wa dawa za kulevya anakamatwa na kutoroshwa...
  11. zungu santana

    Kura yangu nitampa Mbunge wa upinzani, lakini Urais nitampa Magufuli

    Watu wengi utawasikia mimi kura yangu nitampa Mbunge wa upinzani, lakini Urais nitampa wa Magufuli. Ukiwauliza kwanini watakwambia Aaaah tunataka kuwe na wabunge wengi wa upinzani, ili CCM wasiweze kupitisha mambo kirahisi na kusiwe na habari ya 'ndiooo' naunga mkono asilimia mia moja'. Wapo...
  12. zungu santana

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Mwaka 2010 CCM Mkoa wa Mbeya walifanya Makosa Kwenye Nafasi ya Mgombea Ubunge Mbeya Mjini hatima yake Bw Joseph Mbilinyi SUGU akawapiga kwa Ticket ya Chadema, Mwaka huo huo Jimbo la Iringa Mjini CCM walifanya Makosa wakamkata Frediriki Mwakalebela kipenzi cha watu Wakamweka Monica Mbega hasira...
  13. zungu santana

    Wazo huru

    shua...number don lie
  14. zungu santana

    Wazo huru

    Tunapo waambia Ccm jambo waache ubishi wao wakijinga Tena wakome kabisaa. Tuliwaambia huenda zoezi hili la bvr lisikamilike kulingana na ratiba wakabisha Waziri mkuu akabisha jensta Muhagama akabisha mama makinda nae akabisha Sasa Leo lubuva kasema leo wamesha andikisha nusu tu ya watanzania...
Back
Top Bottom