Habari,
Naomba msaada jamani nina stationery lakin katika kipindi hiki cha umeme kata rudi napitia wakati mgumu sana.. Naomba usbauri wenu jamani naweza kuongeza biashara gani isiyotumia umeme nikajiongezea kipato?
Pia ni sehem ipi online ambapo naweza kujifunza graphic design kwa undani??
Habari wana JF
Naomba kufahamu ni wapi naweza pata mafunzo ya computer graphics online au phisical kwa mkoa wa Morogoro....
Nataka kujifunza muda wa ziada sababu mimi ni mtumishi wa umma...
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.