Habari za siku Mingi ?
Leo nilikua pale ubungo darajani stand,maeneo haya ni maeneo yangu ya kujidai kabisa toka 2006 napajua ubungo vizuri na washenzi wote wa pale tena enzi za Hamidu mzawa.
Leo naomba nikujulishe wewe mtanzania unaetumia kituo kile ni kwamba kimejaa wasafiri wengi feki,kuna...
Northern Korea inajivunia kitengeneza kombora linaloweza kurushwa mpk marekani
Ukitaka kujua hawa jamaa walianza lini michakato yao fatilia IRIs na Athena
Alafu jiulize hawa IRIS ni nani
Mmiliki wa bar kubwa maarufu mitaa ya keko Roberti Mushi, usiku wa Jumapili mida ya saa sita alimjeruji dereva kijana aitwae Ngotikwe Ramadhani kwa kumpiga na mdomo wa bastola baada ya kuzipiga tatu hewani.
Roberti mushi ni mpangaji wa fremu zinazomilikiwa na Chama Cha Mapinduzi akieleza kwa...
Je unajua rais mdogo duniani ni rais wa North Korea inakadiliwa kuwa alizaliwa kati ya mwaka 1983-1984.
Baba yake alimuandaa kuwa mrithi wake kwa sababu anafanana na muhasisi wa Taifa hilo.
Mama yake na rais wa North Korea Kim jong-un yeye alimuita "morning star king".
Inasasikika ndie rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.