Recent content by zoom me

  1. zoom me

    Polisi wamkamata G. Lema, ni baada ya kusababisha foleni

    Umekuwa mtanzania now kaka...big up
  2. zoom me

    Malaika akijiunga na mashetani, anageuka shetani? Shetani akijiunga na malaika anageuka malaika?!

    Kuna aina mbili ya malaika... malaika wa Nuru... Malaika wa Giza....shetani yupo ktk kundi hili.... Sijaelewa mkitadha wako mkuu ila kwa mwanadamu Mara nyingi watu unakaa nao Mara nyingi wanauwezo mkubwa kukubadili character.....
  3. zoom me

    Nyumba ya mgombea ubunge kwa tiketi ya CUF yabomolewa Na wananchi

    Utatoaje kibanzi kilicho jichoni mwa mwingine wakati ww mwenyewe unacho? Mwelevu atajitoa kwanza ndipo aanze kwa mwingine.... Kwani unafikiri hatujui kwamba nyie ndo wavuruga amani wakubwa wa taifa hili? Kubenea mlimduu nini? Mwambusi je? Haya yote huoni? Huoni hata docta ulimboka...
  4. zoom me

    Nyumba ya mgombea ubunge kwa tiketi ya CUF yabomolewa Na wananchi

    Sikujua Kama tabora boys ni ya seminari.....
  5. zoom me

    Nyumba ya mgombea ubunge kwa tiketi ya CUF yabomolewa Na wananchi

    Yuko na familia yake, Wewe unamtaka wa nini? Babu ana........kuwa makini na maswali yako Hatujali chochote ila tumemchoka mkoloni huyu ccm Tunataka waturudishie taifa letu. Hata mbowe ikimpendeza kukaa na familia yake its OK Sisi tunazonga mbele kwa mbele tena zaidi ya viitikio vya nyimbo...
  6. zoom me

    Nyumba ya mgombea ubunge kwa tiketi ya CUF yabomolewa Na wananchi

    Kama serikali ya ccm imeajiri walimu wajinga basi jibu ni ndiyo.....na kinyume chake ni kweli
  7. zoom me

    UKAWA kuongea na wanahabari leo saa 8 mchana

    Laana nini? Na mtu aliye laaniwa anakuwaje? Nimekuuliza unaujua utu? Ama kweli jk kawawezesha wanawake.....
  8. zoom me

    UKAWA kuongea na wanahabari leo saa 8 mchana

    Unaujua utu wewe? ...
  9. zoom me

    UKAWA kuongea na wanahabari leo saa 8 mchana

    Wajanja wakina Riz, chenge , ......na ukoo wote wa ccm.
  10. zoom me

    ACT-Wazalendo yavunja rekodi ya upinzani, majimbo yote yasimamisha wabunge na madiwani

    Mkuu unamaanisha akutane na askofu Gwajima?...ha ha ha
  11. zoom me

    Utafiti: Watu wengi wanaoiunga mkono CCM, ni wale ambao hawajatoka nje ya Tanzania

    Wanao muungu mkono magufuri wanasifa zifuatazo. O1.Beneficiary wa CCM kwa namna moja au nyingine 02. Wamezeeka akili....hawajui how much our nation are rich...na ni jinsi gani uongozi mbaya wa ccm wameshindwa kutumia r wameshindwa resources hizo kuwapunguzia wananchi hata mzigo wa kodi tunayotoa
  12. zoom me

    Lowassa funguka kila kitu kuhusu Richmond, CCM wanapanga kukuanika

    Sasa ccm itatuambia nini wananchi? Toka lini watu mliwachagua wakaja lia lia kwa wananchi? Wakati they got all authority and power to prison him? Hii nitawaona serikali legelege walie kwa wananchi? Ha ha Wait them and got question to be
Back
Top Bottom