Please acha kupotosha watu; ajira zinatoka tarehe 20/3/2015 na kuripot vituoni ni tarehe 1/4/2015. Jumla ya walimu 36071 watapangiwa vituo ;Real & current newz,.
Ajira zinatoka tarehe 20/3/2015 na kuripot tarehe 1/4/2015 jumla ya walimu 36071 wataajiriwa; Upungufu wa walimu wanaokosa ni walimu 21036 na tatizo hilo litaisha mwakan 2016.
Ajira mpya 2014/2015 wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi ilitegemea kutangaza mapema mwez wa pili 2015 zimesogezwa mpaka 20/3/2015 kwa walimu wote arts(english) na sayansi (physics &math biology & chemistry kwa shule za upili. (jumla walimu 26000 wataajiriwa). Kwashule za msingi na upili,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.