Recent content by ziyeshile1

  1. Z

    Dr. Bana yupo Clouds Tv live

    Inahitaji kujitoa ufahahamu kiasi ili uende sawa baadhi vituo vya hbr nchini. Kwa mtu makini kbs hawezi kufatilia jambo lolote kupitia kituo cha hao jamaa. Kumejaa watangazaji mambulula na bendela fata upepo kuanzia redio mpk tv. Watawapata haohao waendesha bodaboda na makondacta!!!
  2. Z

    John M. Shibuda ahamia TADEA, awa Katibu Mkuu

    Haya yote ni rahisi kutokea Tanzania tuu... Ambapo mwanasiasa 'mpuuzi' kabisa na bado akapata wafuasi wengi tu!! Inaweza kutokea Tz tu ambapo chama hichohicho kinaweza kutawala kwa zaidi ya nusu karne kwa uongo uleule na bado kikaendelea kuaminiwa zaidi na zaidi. Hapa ndipo Tznia ambapo...
  3. Z

    Kituo cha Polisi Ukonga Stakishari chavamiwa na Majambazi

    Duuh hii hatare sana, hivi yanatokeaje haya wakati huu!??
Back
Top Bottom