Recent content by Ziyeshile

  1. Z

    Lissu: Kwa hali jinsi ilivyo, Dar ndio itakayochelewesha ukombozi wa nchi hii

    HIZI NI BAADHI YA SIFA ZA WATU WA DAR 1.UVIVU,Hasa wa kufikili haraka na kuamua.Hutumia nguvu nyingi sana kubishana kwenye mambo mipira,dini etc ilihali wengi wao ni masikini wa kutisha. 2.ULALAMISHI WA KILA JAMBO,Ni mabingwa wa kulalamika kwa kila jambo hata kama liko ndani ya uwezo wao...
  2. Z

    Upumbavu huu upo kwa Watawala wa Afrika hususani Tanzania!!!

    masopakyindi;siasa za utabiri wa nani atakufa lini zimepetwa na wakati, watu wanataka kujua barabara zao, zahanati na shule kwa ajiri wa watoto wao zitakamilika lini na sio vifo.Tuache kutumika vibaya.!!
  3. Z

    Kikwete's Regime Exposed: Activists report to US Congressional Committees... For Your Eyes Only

    bethlem,toa ushahidi upotoshaji au chochote kisichokuwa na ukweli kwenye ripoti ile then ndiyo ukosoe.Otherwise you have right to remain silence.!!
  4. Z

    Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

    vita ya clouds media kwa vyama vya upinzani na hasa chadema haikuanza leo wala jana,waliofatilia kwa makini uchaguzi mkuu 2010 wanajua hili.Wanajua walivyo mchafua hata mh.sugu na Dr. Slaa. Wamechukua nafasi iliyoachwa wazi na iliyokuwa RTD. Wanajiita radio ya watu kumbe ni redio ccm kama ilivyo...
  5. Z

    Jinsi CCM Itakavyomtumia Zitto Kushinda Urais 2015

    sina hakika na kama kuna research ya uhakika juu ya hili,lakini lina chembechembe ya ukweli flan hasa ukifatilia nyendo za mh. zitto.
Back
Top Bottom