Recent content by Ziyech04

  1. Z

    Naomba kujuzwa dawa ya kutibu Migraine na Tinnitus

    Asante kwa msaada ndugu yangu
  2. Z

    Naomba kujuzwa dawa ya kutibu Migraine na Tinnitus

    Asante sana kwa msaada ubarikiwe
  3. Z

    Anayejua dawa ya kichwa kuuma sana upande mmoja au kwa nyuma juu ya shingo(Migrain)

    Msaada jaman kwa anaefaham dawa ta kutibu migrain na Tinnitus. Yaani kichwa kuuma sana upande mmoja au kwa nyuma juu ya shingo na kupata sauti flan ndani ya kichwa au masikio
  4. Z

    Naomba kujuzwa dawa ya kutibu Migraine na Tinnitus

    Msaada jamani kwa anaefaham dawa ta kutibu migrain na Tinnitus. Yaani kichwa kuuma sana upande mmoja au kwa nyuma juu ya shingo na kupata sauti flan ndani ya kichwa au masikio
  5. Z

    Betri za minara

    Wadau mwenye connection ya kupata betri ya mnara
  6. Z

    Kingamuzi cha Cannal plus

    Wadau kwa anaefahamu nawezaje kupata kingamuzi cha cannal hapa Tz na gharama zake za malipo huwa ni shi ngap
  7. Z

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Kwa wazoefu wa kununua bidhaa kutoka Alibaba au Ebay nielekeze inakuaje na gharama zipoje mpka nipate mzigo wangu. Nataka kununua flat screen alibaba nimeona bei zao ni rahisi sana, anaefahamu anieleweshe kidogo hapo.
  8. Z

    Piki piki boxer engine kuwa na vishindo

    Nlibadlisha mkono lakini wapi
  9. Z

    Piki piki boxer engine kuwa na vishindo

    Jaman mwenye uelewa kuhusu piki piki boxer engine kuwa na vishindo na kugonga gonga tatizo litakuw nini?
Back
Top Bottom