Sasa Faini ya Bajaji ni Elfu kumi, halafu uombwe tena rushwa ya elfu kumi.Wewe sema wamekuandikia tu hao.
Madereva waende Driving School,ili wasijifiche kwenye kichaka cha kupewa elimu. Kama mtu umekosea pigwa Faini au uende Mahakamani tu.
Njooni Shambani tulime huku hakuna traffic kusimamisha...
Mkuu wa mkoa alisemaga wabunge hawaendaji kwenye vikao.
Huwa wanatumaga tu wawakilishi, kwahiyo akamuulize muwakilishi aliyekuwa anamtumaga wakati yeye akiwa bize
Simple sana, Jwtz ni Jeshi la Ulinzi, Polisi ni Jeshi la usalama.
Ukisikia Amiri Jeshi wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama manake ndio Yaani Mkuu wa Tpdf, police, magereza,Tis uhamiaji na zima moto.
CDF kuitwa mkuu wa Majeshi ya Ulinzi manake mkuu wa Landforce,Navy,Air force n.k.
Mengine ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.