@lara1 needs to be a columnists, upate makala yako gazeti flani audience kubwa zaidi isome ideas zako. Honestly sometime naingia JF kutafuta thread zako tu
Bila shaka unaongelea chuo cha Mzumbe wewe, kwa uzoefu wangu, biashara kama hiyo ilishaanzishwa pale ikafeli so kama unataka kuifanya acha nkupe changamoto utazokumbana nazo;
1. Wale wadada wanafanya delivery service, wanakuja kuchukua nguo chafu chumbani na wakishafua wanakuletea mpaka chumbani...
Nshafatilia online kuhusu mashine za kutengeneza toothpick zipo hata za kuoperate mtu mmoja, yani hauhitaji kuwa na warehouse kuubwa kwajili Ya kufungua kiwanda, unaweza hata kufanyia kazi at your backyard, challenge niliyoiona ni jinsi Ya kupata raw materials(miti ambayo haina madhara na haina...
Wanajukwaa naomba msaada nifahamishwe jinsi ya kujiunga na huduma ya mobile banking ktk benki ya ACB. Nikipata msaada mapema ntashukuru maana it's kind of an emergency
Mkuu tarakishi, kwa uelewa wangu mdogo sisal agriculture is very machine-intensive kwahiyo kwenye sensitivity analysis yako usiache kupigia operating costs in case zikibadilika maana miaka 12 ni mingi. Kwahiyo include vitu kama bei za mafuta/kukodi matrekta na gharama za vibarua in case...
Kama alivosema Kichakoro project yako ni ya muda mrefu sana kwahiyo ili kupunguza risk, pamoja na kutumia hard currency kama USD kwenye analysis yako pia usiache kufanya sensitivity analysis ili uone jinsi gani inflation na kubadilika kwa exchange rate kunaweza kuaffect prroject yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.