Ukawa sio chama wajiita wana maridhiano.nisiporidhika nabeba watu wangu nawapeleka upande uleeeee.jamani hawa wakawa wasione ndani.asb rais mchana maridhiano yamebadilika huyo sio rai
Ndugu Ole utakuwa mwana ukawa.ni sahihi kabisa ulichosema.kuwa wakati wa upigaji kura wengi wa wanachadema na ukawa walipiga kona .hawakumpigia lowasa sababu ya kuondolewa wapenzi wao kwenye nyadhifa, kutoshirikishwa maamuzi mbalimbali.migogoro wa nani agombee (sio urais) ubunge au udiwani kati...
Ushauri kwa Ed.usidandie vyama vya wenyewe.kama kweli una uchungu na watanzania kwa jinsi walivyo.anzisha chama chako.tuone sera ndio ushawishi kwetu wadau.
Viiiiiiva mapadlock ma alcohol .....viiiiiva.tangu mwanzo hadi mwisho umeongoza njia.kweli kabisa Mungu huandaa wateule wake aliowachagua.Hongera Magufuli.
Nimeisoma siasa.unune ucheke ulie utafune chupa na kumeza au kutema mambo lazima yaende.hii ndiyo siasa.jaji lubuva mzee wangu bila kuogopa au kutetereka ametangaza mshindi wa ukuu wa nchi.na amesema huo ndio mwisho wa tume.akiwa anamaanisha tume imetimiza wajibu na imemaliza kazi. Tujipongeze...
Kila jambo lina mwisho.tunaendelea na maisha..haya ni mambo ya dunia yamepita.mwacheni Mungu aitwe Mungu.tukumbuke Mungu sio Athumani wala Josef.huwajalia waja wake bila ubaguzi.ukitamani leo nife Mungu ananiongezea miaka 100.tuliaminishwa lowasa fisadi.tukaamini.chadema ikawa juu.mara mpeni...
Wachaga wamewasoma. wasukuma ni watu wenye kiburi na majigambo ya ndani ya nafsi.hawataki dharau , wana heshima na utii na upendo kwa nje tu.kitendo cha kuwapigisha deki mabarabara mkuu apite ni dharau kubwa.ondoa ajira ni swala lingine.ninawajua hii pia ni sababu mojawapo ya kuwakatalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.