Recent content by ZionGate

  1. ZionGate

    Dakika 15, za nyongeza na Penati ya mchongo na bado tunajisifu Kuwa hii ni Ligi ya tano kwa ubora ?

    Simba ndio kaipandisha ligi kelele za nini, Kuna katimu kabovu kanapenda kujipima na simba
  2. ZionGate

    Utafiti uliodumu kwa Miaka 22 kuhusu Mungu yupi ana nguvu katika Ulimwengu wa Rohoni. Hakika Mungu wa Walokole ana nguvu

    1. Mungu hachunguziki 2. Mfuasi wa Shetani/baba wa uwongo (mnajimu) ndio anakupa habari za Mungu na anakushauri ukajifunze kwa walokole kuwajua malaika hapa napata ukakasi wa andiko lako 3. Unawaona malaika na wao wanakuona kupitia kuunganishwa na Mnajimu. Naona shiriki tupu zinazojaribu...
  3. ZionGate

    Usife na marehemu wako

    Ni rahisi kusema hivi kama halijakutokea kwa mtu wako wa karibu sana, hakuna anaependa kuumia ila likikukuta la Dunia hii grieving isikie kwa mtu. Bro Dunia inamaumivu makali sana.
  4. ZionGate

    Askari afa kwenye ajali ya gari njia ya Chanika. Alikuwa kwenye gari dogo lagongwa na daladala

    Upo sahihi hizi TATAT zinaendeshwa vibaya sana akitanua harudi ila Kuna mmoja alinikosakosa hapo goms ikibidi nirukie kwa wauza matunda wa pembeni ila hatasahau nilimuungia alikula ngumi za kutosha.
  5. ZionGate

    Uongozi wa Yanga uhusike na kulipa gharama zote za kuharibu mechi ya Derby iliyotakiwa kufanyika hivi leo. Uhuni kwenye soka haukubaliki

    Kwani kuna kifungu Cha Sheria au kanuni kinachosema wakati wa kutekeleza Sheria/kanuni au wakati wa kuvunja Sheria/kanuni utoe taarifa. Hata ukila chakula inabidi utoe taarifa unatekeleza sheria
  6. ZionGate

    Simba walitoa taarifa rasmi kwa timu mwenyeji kuwa saa 1:15 watautumia uwanja?

    Kanuni ilishasema wao ilikuwa kutekeleza tu, watoe taarifa kwani wanahitaji kibali.
  7. ZionGate

    Tetesi: TFF kuburuzwa FIFA na Yanga kwa kuahirisha mchezo halali wa ligi bila sababu maalum

    Lianzisheni ili Simba walimalizie, hii timu ya mpira au walinzi
  8. ZionGate

    Video: Timu ya Yanga tayari imewasili uwanjani Mkapa, ila ndani hakuna mashabiki wametolewa

    Ili kuweka makali na timu ziheshimiane Yanga wanapaswa kupigwa burn la maana lasivyo huko tunapoelekea kama sio machafuko uwanjani basi rungu la CAF. I
  9. ZionGate

    Mtoto aliyeibiwa Pwani akutwa Ruaha Morogoro

    Hawajafa wapo hai wote
  10. ZionGate

    FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

    Tatizo mnamidomo sana ooooh tutawapita Simba kwa point haya kachukueni hizo point
Back
Top Bottom