Recent content by Zintie

  1. Zintie

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Asante .ndo hivyo najaribu kujua au kupata usahihi zaidi wa haya Mambo. Especially kuwa against na MwenyeziMungu. Japo muongozo mingi na very positive na kukujenga zaid kwa MwenyeziMungu Allah anajua zaidi .
  2. Zintie

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Kama binadaamu ila hapo unakuta muda ulishaenda mfano..mchana nimepita mahali restaurant..pembeni alikaa mtu yuko hivi na hivi ..so jioni ndo huniambia ..kwa maana dhahiri n kwa kuona sio kuongea direct kuwa mie n flan.. Kama nilivyosema huwa bado mwoga kuhimili mambo haya ..
  3. Zintie

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Mara nyingi Telepathy na hisia ..ndoto mara chache ..na dhahiri pia mara chache sana by the way huwa muoga sana so.. Bado nina mengi ya kujifunza Sana pia muda mwingi nakuwa busy na mambo ya biashara ..Unakuta hata wiki siwasilian nao. labda mpaka iwe kuna dharura sana watanipa taarifa bila kuwaita.
  4. Zintie

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Amiin InshaAllah.. Shukran maana elimu hii ukienda kwa wrong people unaweza kupotoka vibaya..na hupenda kuniambia nijitajid kutoa sadaka sana na kuMuomba Allah kwa iman .. by the way huwa nikipata muda unaweza kuelekezwa hata mambo ya kidunia mf. biashara njia sahihi ya kufanya.. Nb..sio...
  5. Zintie

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Shukran kwa ufafanuzi..sometime ilikuwa inanipa mashaka sana ..pia uelewa wa watu wanaokuzunguka ..Ni kweli maana hata wao wananisisitiza kumcha Mungu ..na nijifunze elimu akhera sana etc..kuna muda hadi nikienda mahali chakula kibaya najulishwa..Pia kuna muda wananiambiq nikiendelea na ibada...
  6. Zintie

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Salaam. Samahani napenda kuuliza unavyofanya mawasiliano ni njia gani ? ishara ,kwenye ndoto au kwa kuja kichwani. Maana huwa wanasema jinn au hao viumbe hawatakiwi kuja kwenye ufahamu wako mwanadamu ..ni dhambi..hapo hapo wengine ni sawa .. Mfano nina uwezo wa kuwasilian na jinn popote...
  7. Zintie

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    nimejifunza mengi na naendelea kujifunza mengi kwako na kwa wachangiaji wengine . naomba kuuliza Simba ..ukisema jini akipanda ni mbaya .lkn katika kisa hichi umesema.. Jin2 ..kama alikuwa anakwambia maneno ya kusema kumuuliza mzee Ally..ok so hapo si amepanda pia au kama ni utofauti naomba...
  8. Zintie

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Ni kwamba sie tu Story ni ndefu Ila kiufupi huwa kuna mambo huwa yanatokea ambayo nilishayasema au katika mazungumzo nasema kwa mtazamo wangu mbona hiki kitu or business naona haitakuwa au itakuwa tuendelee nayo or tusipoteze muda na inakuwa hivyo mara nyingi.. siko vizuri sana Kwenye mambo ya...
  9. Zintie

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Nimeipenda hii..Maana kuna rafiki yangu mada zake zote n nyie waislam na ndo mmeleta majini ,,sijui hakuna jinn mzuri wala mbaya ..naicopy kabisa nimtumie😀😀
  10. Zintie

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadada wenye tabia hizi nawachulia kama Sociopaths

    Kwa mtazamo huo karibu basi hutampata mwanamke hata mmoja maana hizo hapo n general ya tabia nyingi za binadamu inaweza kuwa zote au chache au hata robo tu ..bado itakuwa imeingia kwa ulicho mention hapo..so labda aje mwanamke wa kimalaika.. hakuna mkamilifu kwa binadamu awe mwanamke au mwanaume...
  11. Zintie

    JamiiForums Tanzania Waislam wa Bara hawajui kibla kiko wapi? Inakuwaje msikiti unaelekezwa Ulaya?

    Kwakweli ..mwanzo alidhan hata pata watu wanaijua quran na vitabu vya mwanzo ..kwa uzuri..sasa akaleta tafsiri zake alizopita sijui wapi ilhali hana uhakika. kajibiwa kwa ufasaha tena kwa kupitia mistari ya dini yake . Ila sababu hajitambui na kashabeba chuki juu ya uislam ..anabaki anaruka ruka...
  12. Zintie

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilijikuta naishi maisha ambayo sikuyategemea ila sina jinsi

    Pole sana dada.. Tuombe MwenyeziMungu atajalia kheri watoto watakuwa pamoja na mitihani unayopitia. kuna watu humu wameshakariri wanawake huwa ndo chanzo cha matatizo katika ndoa .kiasi kwamba hata ujieleze vp bado utaonekana we ndo mwenye makosa . wanasahau kuwa kuna wanaume wengine pia...
  13. Zintie

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi kwa waislamu kufunga barabara kisa wanaswali?

    Binadamu bwana ..kuna vitu kabla hujaongea au kuandika tafakari sana ..Yaan Tanzania ni nchi ambayo watu wa madhehebu tofauti tunaishi pamoja kwa amani. Sasa mtu ukianza kulalamika vitu vidogo kama kufungwa njia kwa dakika chache ..ilhali kwenye kwa upande mwingine kuna mambo ambayo yanaweza...
  14. Zintie

    JamiiForums Tanzania Sijivunii wazazi wangu

    Mie kwa mtazamo wangu naona mtoa mada .. sio kwamba analaumu wazazi au kutoheshimu wazazi. Ni kwamba anatoa maumivu anayopitia kutoka kwa wazazi wangapi n wazazi maskini lakini anakaa kwa upendo na mtoto mpaka mtoto anaona mzazi wangu pamoja na umaskini ila kanilea kwa upendo na anamwombea...
Back
Top Bottom