Mi kuna mmoja nilipeleka moto, kuanzia kesho yake akawa analaumu kiuno kinamuuma eti nimemkomoa. Alimeza hadi dawa, lakini mwingine show ya aina hiyo hiyo hasumbuki, so wanawake wanatofautiana, usibishe.
Sisi tunataka bikra hatutaki pesa za bana yako, nyie wekeni vigezo vyenu sijui hela, sijui gari, mara mrefu mweusi, ila sisi tuna kigezo kimoja tu, bikra.
Baba yake utakuta ana miaka 60 hana hata pikipiki sijui alikuwa anafanya nini hapa duniani muda wote huo, lakini kujana wa watu kaishi duniani miaka 25-30 anataka awe na magari ya kifahari na makampuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.