Recent content by Zinn

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kusikia mtu kufa na kufufuka? Nimewahi kushuhudia mtaani kwetu

    Mimi nilimuona mtu ambaye nilisimuliwa kuwa alifariki, katunzwa mortuary siku mbili, wakati anakaribia kuzikwa, akafufuka.
  2. Z

    JamiiForums Tanzania Kitaalam kadiri mwanaume anavonenepa ndivo Hamu ya tendo la ndoa inavopungua! Nyie wanaume wanene mnadumu vipi kwene ndoa?

    Mi kuna mmoja nilipeleka moto, kuanzia kesho yake akawa analaumu kiuno kinamuuma eti nimemkomoa. Alimeza hadi dawa, lakini mwingine show ya aina hiyo hiyo hasumbuki, so wanawake wanatofautiana, usibishe.
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Eliza; wanawake tukienda geto kwa mwanaume, asipoonyesha kukuhitaji kimwili huwa tunarudi na stress

    Unakufaje kwani unaumwa dudu au?
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Eliza; wanawake tukienda geto kwa mwanaume, asipoonyesha kukuhitaji kimwili huwa tunarudi na stress

    Namimi nikikuomba afu uninyime, bora nisikuombe kabisa.
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Hivi nyie wanaume wenzangu mnaonunua malaya mnawezaje? Mbona mimi kila nikijaribu nashindwa

    Us Usinunue, tongoza mitaani. Afu we una miaka 41 unatakiwa uwe na familia yako, siyo kuishi kihuni huni .
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Kisa: Nilivyowahi maishani

    Niliiona saba komenti ya nukta ktk ule uzi wa mwaka 2023
  7. Z

    JamiiForums Tanzania Kisa: Nilivyowahi maishani

    We ndo ulikuwa unacoment nukta uzi wa insiderman?
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Kisa: Nilivyowahi maishani

    Kenge hawezi kufyoza ubongo, ni stori za uongo.
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Kuna demu analalamikia wazazi kwa kumsomesha

    So wazazi ndo wamefanya apate mimba au ni umalaya wake?
  10. Z

    JamiiForums Tanzania Dalili za mwanaume maskini ni hizi

    Sisi tunataka bikra hatutaki pesa za bana yako, nyie wekeni vigezo vyenu sijui hela, sijui gari, mara mrefu mweusi, ila sisi tuna kigezo kimoja tu, bikra.
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Dalili za mwanaume maskini ni hizi

    Baba yake utakuta ana miaka 60 hana hata pikipiki sijui alikuwa anafanya nini hapa duniani muda wote huo, lakini kujana wa watu kaishi duniani miaka 25-30 anataka awe na magari ya kifahari na makampuni.
  12. Z

    JamiiForums Tanzania Nani yupo kwenye age ambayo baba wa makamo anakutaka na watoto chini ya miaka 25 wanakutaka?

    Unapenda wachuchu wenye kazi gani?
  13. Z

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanapenda kuombwa tendo siku ya kwanza unayokutana naye, unakuta wengine wamechangamka wanakupa siku hiyo hiyo

    Mnakumbukumbu, alimjibu Magufuli vibaya mwaka 2019, sijui alipewaga adhabu gani.
Back
Top Bottom