Recent content by Zinn

  1. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba sifa za wanawake wenye tabia ya kuona aibu

    Si ulisema ni mchaga, sasa unategemea aside na jeuri
  2. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba sifa za wanawake wenye tabia ya kuona aibu

    Nimekutania kwasababu jina lako ni wakufoji.
  3. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba sifa za wanawake wenye tabia ya kuona aibu

    Sababu yako umeifoji.
  4. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Miguno, vilio, sauti za mahaba vinapotea taratibu

    We ni mmatengo?
  5. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Miguno, vilio, sauti za mahaba vinapotea taratibu

    Watu wengi wa JF wanajifanya wana hela au wamesoma, kumbe wengi wao ni choka mbaya tu.
  6. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

    Unachotafuta kote huko ni nini?
  7. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

    Miaka 32 huyo ni lishangazi
  8. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

    So badala uwaombee waache umalaya, wewe unawaombea wajiuze kwa hali ya classic kuliko ya kujipanga barabarani?
  9. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MCHEZO MPYA WA MADEMU WA SIKU HIZI VIPI UMEUSOMA?

    Akiwa na deni kwenye simu, ukatuma hela kisha ikakatwa, ukirudisha muamala haiwezekani, kurudisha inatakiwa urudishe the same amount uliyotuma.
  10. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MCHEZO MPYA WA MADEMU WA SIKU HIZI VIPI UMEUSOMA?

    Inaonekana wanaume wengi humu ni wagumu wa kutokuendekeza sana mademu.
  11. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MCHEZO MPYA WA MADEMU WA SIKU HIZI VIPI UMEUSOMA?

    Usikute mimi na wewe ni watoto wa baba mmoja.
  12. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kweli kuwaelewa wanawake ni ngumu, wanachanganya sana!.

    Mimi hata nifanye mara moja kwa mwezi, nachagua option ya kujichana na vyakula.
  13. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MCHEZO MPYA WA MADEMU WA SIKU HIZI VIPI UMEUSOMA?

    Na lazima nijiamini coz ninazo sababu nyingi tu za kufanya hivyo.
  14. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MCHEZO MPYA WA MADEMU WA SIKU HIZI VIPI UMEUSOMA?

    Demi hata awe mzuri vipi, akijishaua interest inakata, ukizingatia mimi siyo mtu wa mademu kihivyo, hata nikipita hivi wala hainiumi coz nimezoea kuishi kivyangu vyangu.
  15. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MCHEZO MPYA WA MADEMU WA SIKU HIZI VIPI UMEUSOMA?

    Mimi niliombaga namba mwaka juzi, nikamtext hakujibu, nami nikakausha nikampunguza mazima, akawa anaona status zangu napost, sijui akaanza kuvutiwa na baadhi ya vitu, akaja kunipigia baada ya miezi kama nane hivi, nikapokea nikaongea nae kawaida tu kidogo, tukamaliza, nikaendelea kula buyu...
Back
Top Bottom