Mimi niliombaga namba mwaka juzi, nikamtext hakujibu, nami nikakausha nikampunguza mazima, akawa anaona status zangu napost, sijui akaanza kuvutiwa na baadhi ya vitu, akaja kunipigia baada ya miezi kama nane hivi, nikapokea nikaongea nae kawaida tu kidogo, tukamaliza, nikaendelea kula buyu...