Asante mkuu..uhusiano upo mkubwa lakini Tatizo nimeona wakati wa ku update vyeti vyangu nitasajiliwa upya kama nutritional officer hivyo salary yangu pia itashuka kutoka TGHSB -TGSD kwaio sitakua nimefanya kitu cha maana
Samahani naomba kuuliza kwa anaefahamu.
mimi ni muuguzi (ngazi ya diploma) niliomba kujiunga na ngazi ya degree mwaka huu na nimefanikiwa kuchaguliwa kozi ya human nutrition(sua)
swali langu ni kama ifuatavyo
1.je nikimaliza io kozi wakati wa ku renew leseni tnmc nitapewa leseni ya aina...
Wewe umesoma kipi kati ya nursing na Co?
Au umesoma vyote na kungundua pagumu wapi,wapi pepesi?
Be positive kaka ongea kitu kwa evidences ili uweze kusaidia wasiojua
Islet sizani kama ulichosema ni sahihi CO sio ngumu wala Nursing pia sio ngum
lakini uo utafiti wako et Co ni ngum kuliko nursing sio kwel...
Kusoma certificate ya nursing inatakiwa CCD
Lakin diploma ya Co inatakiwa DDD___sasa kati ya hao ni yupi anaonekana hana uwezo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.