Habari, naomba kuelezwa kuhusu ubora wa chuo cha Jordan kwenye kozi ya computer science. Je wapo vizuri kwenye practical na theory? Wana maxingira mazuri ya kujifunzia yaani Lab za computer za kisasa zitakazomfanya mwanafunzi kujifunza vizuri? Napenda nijiunge hapo ila nijiridhishe kwanza na...
Naomba msaada wa mawasiliano kwa mwanafunzi anayesoma ST JOSEPH UNIVERSITY OF TANZANIA kwa kozi ya computer science, anicheki dm kuna kitu naomba anisaidie
Natanguliza shukrani
Hanashida kabisa, nenda Karipoti kazini Fanya taratibu zote za ajira ya kazi then mueleze mwajiri na mpe vielelezo vyako vyote vya chuo then umuombe ukamalizie shule yako! Very simple utaruhusiwa tu
Kati ya MUST, ATC, IAA na TEKU wapi naweza kusoma vizuri CS na kufanikisha malengo yangu nikiwa na maana wana miundombinu mizuri na mazingira bora ya kujifunzia
Hapana, Pelvic Inflammatory Disease (PID) ni ugonjwa ambao huathiri viungo vya uzazi vya mwanamke kama kizazi, mirija ya uzazi, na ovari. Kwa kawaida, PID husababishwa na maambukizi ya bakteria ambayo huambukizwa kupitia ngono, kama vile klamidia na kisonono.
Kwa wanaume, ingawa hawawezi kupata...
Ushauri
1.Nendeni hospitali mkatibuwe wote maana huo ugonjwa unahitajika mtibiwe wote unaweza kumtibu mwanamke huku mwanaume anao pia so mkapatiwe matibabu wpte wawili
2.Ni simple sana matibabu yake ukisha patiwa vipimo sahihi na wala hata laki 1 haiwezi kuisha
3.Nenda hospitali yoyote kubwa tu...
Ndio kwa UDOM ni PCM ila naona vyuo vingine hesabu ya o level ukifaulu wanakubeba ila Udom na baadhi ya vyuo naona wana taka Advanced Mathematics na masomo mengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.