Recent content by zigi 01

  1. zigi 01

    Vyuo bora vya Pharmacy Tanzania

    Unakiwekaje Tabora cohas wakati hata product haijatoa mtaani? Kuna the best college kinaitwa MPANDA COHAS huwezi kuiacha kwa sasa
  2. zigi 01

    Bachelor of computer science Jordan university college

    Habari, naomba kuelezwa kuhusu ubora wa chuo cha Jordan kwenye kozi ya computer science. Je wapo vizuri kwenye practical na theory? Wana maxingira mazuri ya kujifunzia yaani Lab za computer za kisasa zitakazomfanya mwanafunzi kujifunza vizuri? Napenda nijiunge hapo ila nijiridhishe kwanza na...
  3. zigi 01

    MSAADA

    Naomba msaada wa mawasiliano kwa mwanafunzi anayesoma ST JOSEPH UNIVERSITY OF TANZANIA kwa kozi ya computer science, anicheki dm kuna kitu naomba anisaidie Natanguliza shukrani
  4. zigi 01

    Ukisikia majaribu ndio haya, yupo degree mwaka wa pili, kaitwa kazini serikalini kazi ya Diploma, aghairi au aende ?

    Hanashida kabisa, nenda Karipoti kazini Fanya taratibu zote za ajira ya kazi then mueleze mwajiri na mpe vielelezo vyako vyote vya chuo then umuombe ukamalizie shule yako! Very simple utaruhusiwa tu
  5. zigi 01

    Uliza swali lolote kuhusu Computer Science/ Engineering

    Kati ya ST JOSEPH na Unique academy ni wapi naweza kujifunza vizuri CS na nikawa Bora zaidi? Japo unique academy Wana INFORMATION SECURITY
  6. zigi 01

    Uliza swali lolote kuhusu Computer Science/ Engineering

    Kati ya MUST, ATC, IAA na TEKU wapi naweza kusoma vizuri CS na kufanikisha malengo yangu nikiwa na maana wana miundombinu mizuri na mazingira bora ya kujifunzia
  7. zigi 01

    Hacking (Chuo Unique Academy)

    Ada ni sh ngapi hivi hapo Uniq ?
  8. zigi 01

    Mwenye ufahamu na vyuo vinavyotoa degree ya Computer Science

    Hiki chuo vipi ? Kikoje hasa kitaaluma kwenye hizo kozi ya ICT?
  9. zigi 01

    PCB siyo tahasusi ya mchezo

    Acha kabisa vitini vya MGOTE , UNGA , ISSUE BOY kule unaenda tena kugusa MUDDY PHYSICS ni balaa na nusu
  10. zigi 01

    Nisaidie tiba maambukizi kwenye via vya uzazi (P.I.D)

    Hapana, Pelvic Inflammatory Disease (PID) ni ugonjwa ambao huathiri viungo vya uzazi vya mwanamke kama kizazi, mirija ya uzazi, na ovari. Kwa kawaida, PID husababishwa na maambukizi ya bakteria ambayo huambukizwa kupitia ngono, kama vile klamidia na kisonono. Kwa wanaume, ingawa hawawezi kupata...
  11. zigi 01

    Nisaidie tiba maambukizi kwenye via vya uzazi (P.I.D)

    Ushauri 1.Nendeni hospitali mkatibuwe wote maana huo ugonjwa unahitajika mtibiwe wote unaweza kumtibu mwanamke huku mwanaume anao pia so mkapatiwe matibabu wpte wawili 2.Ni simple sana matibabu yake ukisha patiwa vipimo sahihi na wala hata laki 1 haiwezi kuisha 3.Nenda hospitali yoyote kubwa tu...
  12. zigi 01

    Bachelor of science in information system

    Ndio kwa UDOM ni PCM ila naona vyuo vingine hesabu ya o level ukifaulu wanakubeba ila Udom na baadhi ya vyuo naona wana taka Advanced Mathematics na masomo mengine
Back
Top Bottom