Recent content by zigi 01

  1. zigi 01

    Ni vitu gani nizingatie nikiwa nanunua router kwa ajili ya matumizi ya ofisi kwa wastani wa watumiaji 300?

    Ni vitu gani nizingatie nikiwa nanunua router kwa ajili ya matumizi ya ofisi kwa wastani wa watumiaji 300? Naomba msaada ni jinsi gani naweza kuziona hizo specification.
  2. zigi 01

    Masaada: Kwenye maswala ya internet (IT)

    Nimejaribu kufuatilia hicho sijaona hiyo sehemu! Au labda Kuna lugha wanayoitumia kuandika siielewi
  3. zigi 01

    Router gani nzuri kwa matumizi ya ofisi yenye watu zaidi ya 500

    Kwa wastani kama Nina Tp link router Moja naweza kuhudumia client wangapi kwa muda mmoja?
  4. zigi 01

    Router gani nzuri kwa matumizi ya ofisi yenye watu zaidi ya 500

    Hapo nitafanya vipi hesabu ya kujua bandwidth inayohitajika?
  5. zigi 01

    Masaada: Kwenye maswala ya internet (IT)

    Naweza kujuaje kama hii router ni ya uwezo wa watu 60 au zaidi?? Au pungufu?? Kifupi ni namna ya kujua idadi ya vifaa vinavyoweza kuwa connected kwenye router naangalia wapi??
  6. zigi 01

    Router gani nzuri kwa matumizi ya ofisi yenye watu zaidi ya 500

    Habari za mida, Naomba kusaidiwa router gani ni nzuri kwa matumizi ya taasisi ambayo inakuwa na watumiaji 500 kwa mara Moja wakiwa connected kwa wired na wireless? Na kipi natakiwa kukiangalia kwenye hiyo router ili kujua idadi ya users inayoweza kuchukua? NB: Sina utaalamu sana na router...
  7. zigi 01

    Tenses

    Nimesoma kwenye Google ila sijaelewa being inatumika kama gerund, adjective , noun na verb anayejua vizuri hivi anisaidie kwa maana nimetoka mtupu! Kuna mifano kama hii, Being a male, She is being beaten by ball . I believe being with you is a good thing
  8. zigi 01

    Tenses

    Matumizi ya being kwenye sentenses ni yapi? Na maana yake hasa ni ipi?
  9. zigi 01

    Visual Basic Programming

    Hivi ni kweli hakuna wataalamu wa hii lugha kabisa? Au ndio mmenikaushia tu mpaka mwaka unaisha huu???
  10. zigi 01

    SAMPLE SIZE

    Formula zipo nyingi sana sasa kujua ni ipi utumie ndio changamoto
  11. zigi 01

    SAMPLE SIZE

    Habari Naomba kujua ni vigezo gani nivitumie kupata sample size of my study? Mfano: Nahitaji kujua idadi ya wamama wanaotumia uzazi wa mpango kwa jiji la Dar Es Salaam au Nataka kujua uelewa wa wananchi wa Mbeya kuhusu matumizi sahihi ya dawa za Malaria au Natakujua matatizo gani hupelekea...
  12. zigi 01

    Lessons for Statistics, Data Analysis, and Research

    Good! Umeeleza vizuri sana, naomba mtu anisaidie kuelexa kwa ufupi hasa maana ya p value maana nimekua nakariri tu na inanipashida kuielexea vizuri
  13. zigi 01

    Masters thesis and by coursework tofauti yake ni nini?

    Nimekusoma kumbe by coursework ndio nzuri
Back
Top Bottom