Recent content by zigi 01

  1. zigi 01

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya upungufu wa Wakufunzi na miundombinu duni katika Chuo cha Ufundi Arusha

    Mbona hatari sasa Kwa Chuo kikubwa hicho Na Ada wameongeza Tena😮
  2. zigi 01

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi wa kina kuhusu kozi za computer - IT, Computer science, Computer Engineering, Software engineering na Cyber security

    Vipi kuhusu BSc.Information Technology and System ? Nayo ikoje hasa
  3. zigi 01

    JamiiForums Tanzania Vyuo bora vya Pharmacy Tanzania

    Unakiwekaje Tabora cohas wakati hata product haijatoa mtaani? Kuna the best college kinaitwa MPANDA COHAS huwezi kuiacha kwa sasa
  4. zigi 01

    JamiiForums Tanzania Bachelor of computer science Jordan university college

    Sijakuelewa mkuu
  5. zigi 01

    JamiiForums Tanzania Bachelor of computer science Jordan university college

    Kama chuo Gani mkuu?
  6. zigi 01

    JamiiForums Tanzania Bachelor of computer science Jordan university college

    Natanguliza shukrani bado
  7. zigi 01

    JamiiForums Tanzania Bachelor of computer science Jordan university college

    Habari, naomba kuelezwa kuhusu ubora wa chuo cha Jordan kwenye kozi ya computer science. Je wapo vizuri kwenye practical na theory? Wana maxingira mazuri ya kujifunzia yaani Lab za computer za kisasa zitakazomfanya mwanafunzi kujifunza vizuri? Napenda nijiunge hapo ila nijiridhishe kwanza na...
  8. zigi 01

    JamiiForums Tanzania MSAADA

    Naomba msaada wa mawasiliano kwa mwanafunzi anayesoma ST JOSEPH UNIVERSITY OF TANZANIA kwa kozi ya computer science, anicheki dm kuna kitu naomba anisaidie Natanguliza shukrani
  9. zigi 01

    JamiiForums Tanzania Ukisikia majaribu ndio haya, yupo degree mwaka wa pili, kaitwa kazini serikalini kazi ya Diploma, aghairi au aende ?

    Hanashida kabisa, nenda Karipoti kazini Fanya taratibu zote za ajira ya kazi then mueleze mwajiri na mpe vielelezo vyako vyote vya chuo then umuombe ukamalizie shule yako! Very simple utaruhusiwa tu
  10. zigi 01

    JamiiForums Tanzania Uliza swali lolote kuhusu Computer Science/ Engineering

    Kati ya ST JOSEPH na Unique academy ni wapi naweza kujifunza vizuri CS na nikawa Bora zaidi? Japo unique academy Wana INFORMATION SECURITY
  11. zigi 01

    JamiiForums Tanzania Uliza swali lolote kuhusu Computer Science/ Engineering

    Kati ya MUST, ATC, IAA na TEKU wapi naweza kusoma vizuri CS na kufanikisha malengo yangu nikiwa na maana wana miundombinu mizuri na mazingira bora ya kujifunzia
  12. zigi 01

    JamiiForums Tanzania Hacking (Chuo Unique Academy)

    Ada ni sh ngapi hivi hapo Uniq ?
  13. zigi 01

    JamiiForums Tanzania Mwenye ufahamu na vyuo vinavyotoa degree ya Computer Science

    Hiki chuo vipi ? Kikoje hasa kitaaluma kwenye hizo kozi ya ICT?
  14. zigi 01

    JamiiForums Tanzania PCB siyo tahasusi ya mchezo

    Acha kabisa vitini vya MGOTE , UNGA , ISSUE BOY kule unaenda tena kugusa MUDDY PHYSICS ni balaa na nusu
  15. zigi 01

    JamiiForums Tanzania Nisaidie tiba maambukizi kwenye via vya uzazi (P.I.D)

    Hapana, Pelvic Inflammatory Disease (PID) ni ugonjwa ambao huathiri viungo vya uzazi vya mwanamke kama kizazi, mirija ya uzazi, na ovari. Kwa kawaida, PID husababishwa na maambukizi ya bakteria ambayo huambukizwa kupitia ngono, kama vile klamidia na kisonono. Kwa wanaume, ingawa hawawezi kupata...
Back
Top Bottom