Wakuu naomba kuliza!! Ina mana kuna kipimo kingine cha HCG{human gonadotropin hormone} ukiacha UPT na macroscopicaly agulitination..?? Mana naona ubishani.
Much pole kwako buro!! Ngono zembe ni jatari sana mana mpaka uwe na discharge kwenye sehemu ya siri dat means una STD. La mana nenda kafanyiwe diagnosis ya syphiliss iwe RPR{rapid plasma reagn} au VDRL if nor aggulitination found ndo urudie test ya naisseria gonorroheae,
Dah!! Kutakuwa na mistake ndogo mkuu ila nmefurahi leo kuona wa2 wameanza pangiwa KAM na wizara ya afya.. Kwa ushauri wangu ukija kama njoo kwa uangalifu mana saiv kuna mtafaruku kati ya chuo na wanafunzi ni ushauri tu mkuu mana na mm ni mwanafuzi wa KAM!!
Pole..ushauri wangu nenda hospital wakufanyie full blood picture diagnosis ili waweze jua tatizo liko wapi mana wamesha sema auna malaria basi yawezekana una anaemia ivyo yabidi ufanyiwe HAEMOGLOBIN ESTIMATION. Possibility yakuwa na ANEMIA 80%.
H.I.V rapid test ni DETERMINE,UN-GOLD pamoja na SD-BIOLINE ambacho siku hizi akitumiki sana.katika kila kipimo kuna mistai miwili ambayo ni control&patient band.hiwapo mistari itatokea miwili kwenye conjugate{coloring compound} ina manisha mtu uko ve+ ila ukiwa 1 kwenye control it means upo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.