Patriotism siyo kusema ndiyo kwa kila atakalo raisi
Uzalendo unaweza kuonekana kupitia matendo mengi
Ikiwemo kupigania freedom of speech kwa nchi yako,kupigania Demokrasia ,Kupigania uwazi,Equity and Equality na mifumo bora ya utawala wa nchi
Uzalendo ina definition pana na definition mliyonayo...
Kwahiyo nchi ni chama
Nyie mmekula maharage ya wapi
Mmoja ni mwenyekiti wa CHADEMA yeye kua mwenyekiti wa chadema hata miaka 50 haiwahusu wana CCM
Na mwenyekiti wa CCM akiwa mwenyekiti hata maisha yake yote sio tatizo kwa wana CHADEMA
Lakini Raisi wa nchi sio raisi wa CCM ni raisi wa watanzania...
Labda definition yako ya uzalendo ni ya tofauti
Sijaona Mzalendo TZ kama Tundu Lisu
Nikikumbuka harakati zake za kupigania haki za wanaoishi maeneo ya migodini
Harakati zake za kupinga Mikataba ya kupitishwa kwa hati za dharura
Harakati zake za kupigania Bunge lisimame kama mkosoaji na mshauri...
Hata mi naunga hoja
Magu aendelee kua Mwenyekiti wa CCM hata miaka hamsini
Na Freeman aendelee kua mwenyekiti wa CHADEMA hadi pale atakapohitajika mwingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.