Polisi wa nchi hii hawana akili hatakidogo huwezi kupokeq amri ya kipumbavu nawe ukqitekeleza huku ukijuwa madhara take Kwa taifa
Sasa huyo Gwajima ngoja atakavyowashinda mahakamani na yeye afungue kesi yake ya madai, bado sijajuwa hizo pesa mtakazomlipa mtazitoa wapi?
Nasubiri niione mpaka...
Sisi wakristo ni kama mataila tunapondana sisi Kwa sisi badala ya kuungana kupinga unyanyasaji unaofanywa na jeshi LA police dhidi ya watumishi WA Mungu,
KOVA uwe makini sana kuna muda watu watachoka watakupa na wewe maumivi kama unayowapa wengine, watu hawashindwi kuibongonyoa familia yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.