Recent content by zeroharm

  1. Z

    TCRA: Wenye akaunti ‘feki’ kukiona

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
  2. Z

    Nimekataa kumpongeza Mrisho Gambo

    Ni moja ya kijana shupavu ndani ya ccm,ufanisi wake ktk majukumu yake tangu korogwe umejidhihirisha pasipo shaka!Hakika hii awamu ni ya vijana wachapakazi tu!
  3. Z

    Kiwanda cha kutengeneza bacteria kilichojengwa Kibaha kwa ajili ya kutafuna viluwiluwi vya mbu

    Nilijua ni uhakiki wa wafanyakazi ndo kikwazo ,poleni sana
  4. Z

    Kiwanda cha kutengeneza bacteria kilichojengwa Kibaha kwa ajili ya kutafuna viluwiluwi vya mbu

    Duuh,hii ni hatari.....kumbe ni zaidi ya wafanyakazi hewa?
  5. Z

    Mawaziri wa Kikwete walioshindwa kasi ya rais Magufuli

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] hadi umuone waziri kwa vyombo vya habar au akikurupka ndo ujuwe anaendana na kasi ya Rais?wote wanaendena na kasi yake ndo maana bado anawaamini ktk nafasi zao
  6. Z

    Ukatili kwa watoto: Ambaka mtoto na kumlisha mbegu za kiume (Bao)

    Mmh!hapa kutakuwa na nguvu za Giza tu si bure!
  7. Z

    Kiwanda cha kutengeneza bacteria kilichojengwa Kibaha kwa ajili ya kutafuna viluwiluwi vya mbu

    Mkuu huwezi kumlipa mtumishi hewa hata kama ana mkataba!muhimu uwakiki umalizike ndo stahiki zao wapewe Hicho kiwanda ni potential sana na new technology so itakuwa ni uwendawazimu kiwanda kisizalishe!
  8. Z

    Kiwanda cha kutengeneza bacteria kilichojengwa Kibaha kwa ajili ya kutafuna viluwiluwi vya mbu

    Mkuu hii hali inaonekana imekuwa mbaya sana,Jana habari saa 3 usiku Times FM wameripoti kuwa wafanyakazi wako kiwandani wakimsubiri Mkurugenzi wa NDC usiku huo na baadaye ikaripotiwa tena Mkurugenzi huyo anaongea na wafanyakazi hapo kiwandani! Ninachoona inawezakana kuna wafanyakazi hewa wengi...
  9. Z

    Kiwanda cha kutengeneza bacteria kilichojengwa Kibaha kwa ajili ya kutafuna viluwiluwi vya mbu

    Inaonekana nawe ni muhanga,umejuaje maboss hawana majibu??Jamaa yangu kakiri ni kweli hamjalipwa pia hakuna kazi mnayofanya pale zaid ya kuchakaza majengo tu!Vijana hii awamu ya 5 ni ya kazi tu,sasa kama hamfanyi kazi mnategemea mlipwe nini?? Serikali ichungulie huku NDC inaonekana kuna watu...
  10. Z

    Waajiri (serikali na binafsi) acheni kuvipendelea vyuo vya IFM na UDSM katika ajira

    Mbona kuna watu kibao tu wa Udsm au Sua wako kitaaa??muhimu jipange mkuu kwa interview usidhani jina la chuo au GPA ni kigezo cha kupata kazi.....kwa andiko lako tu umeonesha inferiority so hufai kuajiriwa
  11. Z

    Kiwanda cha kutengeneza bacteria kilichojengwa Kibaha kwa ajili ya kutafuna viluwiluwi vya mbu

    Kama hii taarifa ni ya kweli namhurumia sana jamaa yangu tulikuwa naye job,akasitisha kwa mbwembwe contract na kwenda kuanza kazi huko kwa wacuba hapo Kibaha.......ilikuwa mwaka Jana mwezi wa 4 pia nakumbuka jk alikifungua kwa mbwembwe! Tena mshikaji alitafuta hadi passport eti akawa anadai...
  12. Z

    Hii kauli ya Rais kuhusu Wahehe inanikera sana

    Sidhani kama rais huwa ana dhamira ovu kutaja wahehe??kujinyonga kwangu naona ni ushujaa....bila kuwa jasiri huwezi dhubutu kutenda!
  13. Z

    Nini kimemtokea Tundu Lissu kwa kubadili jina la Dikteta Uchwara na sasa anaita Mtukufu Rais?

    Eti mahabusu sio kuzuri [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Back
Top Bottom