Recent content by zero wolf

  1. Z

    Nani atahesabu kura za kupitisha Rasimu?

    hiyo inayojadiliwa bungeni sio katiba tunayoitaka bali hicho kinachofanyika ni utungaji wa kitabu cha hadithi cha TANZANIA baada ya miaka hamsini.
  2. Z

    Sex with a Goat is Allowed Under Islam

    We jamaa inaonekana ndo michezo yako kufanya mapenzi na mbuzi. Katika dini yetu hakuna kitu kama icho
  3. Z

    Ukiwa Kwa Mswati Hadi Raha

    Mswati ni fisadi
  4. Z

    Zanzibar yajitoa rasmi kwenye mchakato wa kutunga katiba

    Ccm kadiri siku zinavyokwenda ndivyo wanavyozidi kupoteza umakini ktk utendaji kazi. Wanadhani bado Taifa lina idadi kubwa ya wajinga. Sivyo na ni mbaya kabisa wanayoyafanya ktk bunge hilo la katiba kama wangelijua
  5. Z

    Cheka unenepe!!!

    Unatishaa.
Back
Top Bottom