Mkuu binadamu tumeumbiwa kusahau pale tunapovuka hatua moja ya maisha. Ila hatma ya maisha yetu anayo muumba. Nafrahi kusikia ulipata kazi pia na maisha yako yanaendelea kama kawaida
Mkuu usimfikirie vibaya, nenda nae vizuri tu kikubwa unafahamu jinsi tulivyo wanadamu. Do not expect anything from anyone to avoid disappointment. Tenda nafasi yako tu
Sawa mkuu, ila ujue katika maisha kuna vipindi pia, kama muda Bado hata mtu upambane vipi Bado kupanda inaweza kuwa ngumu. Unadhani nafanya nini hata ukinipunguza? Yaani nakosa kuwa na maana kwakuwa wewe umetangulia kupata kabla yangu?
Ni vizuri lakini Pia kwa upande wa pili ngoja nijitafakari...
Wakuu habari za wakati huu! Nina Imani mu wazima wa afya na mnaendelea kupambana na maisha ya Kila siku. Mungu atusaidie sana.
Kama ambavyo title inajieleza, Mimi ni mtu ambae sina marafiki wengi, si kwakuwa ninajiskia sana, hapana ila ni aina ya watu ambao ninaweza kusema ni introvert. Nina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.