Recent content by Zero Competition

  1. Zero Competition

    Mume wangu ananipa Kila kitu kasoro kitu kimoja tu. Nishaurini nataka kuvunja hii ndoa

    Hii ndo shida ya kuoa vitoto vidogo visivyojua maisha ni nini.
  2. Zero Competition

    Mpenzi wako akikukosea jitahidi usiwe wa kwanza kumtafuta ili kulinda heshima yako

    Wawili mnapokua kwenye mahusiano ya kimapenzi suala la kugombana ni kitu cha kawaida na mkiona mna zaidi ta miaka miwili au mitatu hamjawahi hata kugombana basi ujue kuna tatizo katika mahusiano yenu. Inawezekana kwakua unampenda sana mwenzako inafikia wakati hata mkigombana kwa kosa...
  3. Zero Competition

    Msaada kuhusu kuvunjika mguu

    Shukrani sana kaka 😄😄😄
  4. Zero Competition

    Msaada kuhusu kuvunjika mguu

    Asante sana kiongozi
  5. Zero Competition

    Msaada kuhusu kuvunjika mguu

    Asante sana kaka, huwa nafanya movement ndogo ndogo tu za mazoezi.
  6. Zero Competition

    Msaada kuhusu kuvunjika mguu

    Habari zenu wana jukwaa Nilipata tatizo la mguu baada ya kudondoka na nilipoenda hospital nikapigwa X-ray kisha doctor akanambia kwamba nimevunjika mfupa mdogo ambao haubebi uzito kisha palepale nikatakiwa nivae Plaster of Paris (POP) na nikaambiwa kwamba natakiwa nikae nayo kwa muda wa wiki 4...
  7. Zero Competition

    Njoo tujifunze Kiitaliano

    Bila kusahau bonucci chiellin
  8. Zero Competition

    Njoo tujifunze Kiitaliano

    Sì, naturalmente
  9. Zero Competition

    Njoo tujifunze Kiitaliano

    Ho imparato questa lingua quando ero al liceo
  10. Zero Competition

    Njoo tujifunze Kiitaliano

    Buon pomeriggio - Good Afternoon Buona serata - Good evening Buona notte - Good night
  11. Zero Competition

    Msaada: Hii address ni genuine?

    Yani kama unashindwa kutofautisha kati ya email address na website basi unatapelika kirahisi sana
  12. Zero Competition

    Waliofanya usaili wa nafasi ya Data Officer MDH

    Heshima kwenu wakuu, Kwa tuliofanya interview ya Practical nafasi ya Data Officer MDH pale Kijitonyama kuna yeyote ambae kashapigiwa simu kwenda kwenye Oral Interview?
Back
Top Bottom