Recent content by zephania5

  1. zephania5

    Siri kubwa ya mafanikio ni hii hapa

    Kwanini hii hutokea!?
  2. zephania5

    SoC02 Taifa hili litajengwa na nani?

    Naam, sawa kabisa
  3. zephania5

    SoC02 Heri kubaki na afya njema kuliko kutafuta matibabu bora

    Karibu kwa maoni yako juu ya suala muhimu la afya
  4. zephania5

    SoC02 Kwanini mafanikio kupitia elimu yanaonekana kama mvua inyeshayo jangwani?

    Maarifa ya maisha, kujitegemea bado ni changamoto, wazazi kwa walimu wangepaswa kuwa mstari wa kwanza kuwaandaa watoto na vijana kwa maisha kamili, kabla maisha hayajaanza kuwapa mafunzo ambayo hawakuwa tayari wala hawakujiandaa kuyapokea
  5. zephania5

    Yanga yaipeleka ligi kuu Tanzania Top Ten Africa

    Historia ni wakati uiliopo, uliopita na ujao. Kuwa mabingwa wa kihistoria wala si ajabu lwa yanga
  6. zephania5

    SoC02 Aibu zetu, vilio vyetu

    Shukrani kwa makala yako, naona wasomi na wasiosoma tunaendelea kujifunza
  7. zephania5

    SoC02 Heri kubaki na afya njema kuliko kutafuta matibabu bora

    Shukrani sana. Tutazidi kufahamiana, karibu jamii forum
  8. zephania5

    SoC02 Kwanini mafanikio kupitia elimu yanaonekana kama mvua inyeshayo jangwani?

    Tuchukue tahadhari mapema, tusome kuikomboa zaidi jamii, na si jamii itukomboe wasomi. Kukata tamaa sio suluhisho la matatizo, naendelea kusisitiza juu ya suala hili, leo na kesho. Haijalishi taifa ama serikali itakufanyia, lakini jitahidi kufanya kitu kwa ajili ya taifa na serikali yako. Lakini...
  9. zephania5

    SoC02 Kwanini mafanikio kupitia elimu yanaonekana kama mvua inyeshayo jangwani?

    Tuitumie vizuri kwa manufaa binafsi na jamii zetu, bika kujali ajira. Maarifa na ujuzi vinatosha sana kubadilisha maisha, tujitume, tujiamini, tuache uoga wa kutumia nafasi tulizo nazo. Pia tumtangulize Mungu katika mipango yetu, amin tutafanikiwa katika nyanja mbalimbali za kimaisha.
  10. zephania5

    SoC02 Kwanini mafanikio kupitia elimu yanaonekana kama mvua inyeshayo jangwani?

    Ni kweli, mfumo wa elimu unatakiwa kuangaliwa vizuri, ili kuwaandalia mazingira mazuri wahitimu kujiajili ama kuajiriwa. Vile vile wasomi wanatakiwa kukubaliana na hali iliyopo, sababu wengi wanakata tamaa. badala yake uwezo walioutumia darasani wautumie vizuri kwenye jamii na maisha ya kila...
  11. zephania5

    SoC02 Kwanini mafanikio kupitia elimu yanaonekana kama mvua inyeshayo jangwani?

    Hili ndilo swali hasa wasomi tunatakiwa kujiuliza, ili kuleta mtazamo mpya katika jamii zetu
Back
Top Bottom