Huyu alikuwa Sultan Khalifa Bin Haroub, baba yake na Sultan Jamshid bin Abdullah aliyepinduliwa. Nitatafuta picha ya Sultani Jamshid na kuiongezea hapa kesho.
Huyo kwenye picha ya juu sie babaake Jamshid, babaake Jemshid ni Sulatan Abdallah ambae yupo kwenye picha ya chini pamoja na akina...
"Malengo ya Mapinduzi Zanzibar ilikuwa kuleta umoja kwa Wazanzibari na kuleta usawa kwa wananchi, ikiwemo kuwa na maisha bora na kuondoa ubaguzi wa aina zote," alisema Naibu Katibu Mkuu huyo.
Alisema Serikali ya Mapinduzi lazima ichukue hatua ya kuondoa tatizo la matumizi mabaya ya ardhi, kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.