Ni ngumu sana watu kuuelewa ukweli. Na kamwe tusitaraji watu wote kuunga mkono. Kuna watu Ni Kama gari la takataka, wanatafuta pa kutua take zao. So watakutukana, watakuponda na kukubeza sana hata Kama utakuwa umeusema ukweli. Basi kikubwa wapungie mkono tu usonge mbele na maisha yako. Utazame...
Siku tukivuka salama na Singa kutiwa hatiani basi najua zama za wizi bila kufumbiwa macho zisubiri kiongozi mwingine mjinga ajaye siyo huyu Msukuma mwenzangu
Uyasemayo ni haki, hao wanaopata uwaziri wanajisahau sana na kubakia wakishughulika na shida za kitaifa zaidi kuliko matatizo ya wananchi wao majimboni waliowapigia kura.
Hapo hakuna namna ni.kusubiri muda uende tu halafu mnampa haki yake. Rasimu ya katiba ya Warioba iliyataja mambo.hayavna...
Wabunge wanajaribu kutafuta mbinu zao za ajabu ajabu walizozizoea kujipatia vipato vya ziada. Walishajaribu opportunity, na kwann wamwombe rais abadili maamuzi aliyokwisha taja yasifanywe? Kuna nini? Au ndo yale yale ya wafanyabiashara kurob wabunge washinikize serikali kuwapa neema? Washindwe...
Upo uwezekano mkubwa ikawa unachoongea kikawa sahii lkn nadhani pia upande wa pili kua shida unayotakiwa kuifahamu japo kidogo tu.
NSSF ni shirika ambalo nadhani kwa lugha ndogo tu ni kwamba linazama. Sura yake kwa nje haiko sawa na ndani ilivyo. Limekwisha, limetafunwa vya kutosha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.