Recent content by ZEMAN

  1. Z

    Ukibahatika kukutana na Rais Samia utamuuliza swali gani la msingi?

    Nitasema Nitamwambia Mheshimiwa Rais ! Ulivyoanza ndo tunakuombea umalize 2030 kwa mwendo huo huo. Inawezekana kuongoza bila kuwa mkorofi na kurekebisha bila kutoka mapovu.
  2. Z

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Jamani msilazimishe mawazo ya Rais aliyetutoka yafuatwe na Rais wetu Samia Suluhu. WaTanzania tutamsupport Rais huyu hata kama ni sisi upinzani au wana CCM ili nchi yetu ipate maendeleo ya wananchi wote!! wakulima, makuli, walimu, bodaboda, wafanya biashara kubwa na ndogo, wafanya kazi...
  3. Z

    Ni lazima wote tuwe chama tawala?

    Habari wadau. Nimekua nikifuatilia mijadala mingi humu ndani. Tukiwa kama wadau katika kuleta chachu ya maendeleo ya Tanzania yetu, nimeshindwa kukubali kwanini tunashindwa kuelewa wapinzani wapo kuikosoa serikali iliyopo madarakani na watakuwepo milele. Tanzania haina tofauti na nchi yoyote...
  4. Z

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    Unasomea sheria ili ulalamike kama ambao hatujasoma. Ulikuwa na miaka 8 ya kuhakikisha suala linaenda mahakamani ukakaa kulalama. Mahakama ni waTanzania sasa kaa kimya kidogo tukuamulie.
  5. Z

    Uingereza haikumtendea haki Rais Kikwete

    Yeye mwenyewe wala hajali. Uingereza alienda kufanya mkutano na Kamati Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama. Kweli Tanzania ni BIG COUNTRY...
  6. Z

    Majibu ya Kigwangalla: Kwa Nini Sikusaini Hoja ya Mhe. Zitto Zuberi Kabwe (MB)!

    Tatu, msisahau kitu kimoja cha muhimu kabisa. Kwamba, mimi ni Mbunge kutokea CCM na kama walivyo wengi wenzangu hatukusaini kwa sababu hatuwezi kuiangusha serikali ya CCM kwa hoja inayoletwa na Mbunge wa Kambi ya Upinzani! 'Kaka tulifikiri kuwachagua wabunge Vijana mngesaidia kuleta...
Back
Top Bottom