Kaka mimi nipo mwanza nafanya biashara ya samaki wabichi na kila siku tunasafirisha samaki kwenda sehem mbalimbali ikiwemo Arusha na wanafika wakiwa vizuri pia nina mpango wa kufungua bucha moshi ntakua nauza jumla na rejareja unaweza kuwa mteja wangu,karibu sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.