Hata mm ni mwanamke bt unaweza kujisifia unamzid kwa sura bt vitu vingne vibaya, angalia wapi unakosea ili upate kusawazisha vingnevyo utaishia kusema mzuri na wenzio watakuletea hadi mtt kupia hapo hapo kitandani kwako na always hakunaga cha urafik kwa wanawake angalia hata mastaa wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.