Recent content by ze jj

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Nadaiwa na microfinance million Tano

    Napambana kulipa, kama juzi nmewalipa million Moja. Lakini wamecalculate riba imenirudisha kwenye ileile million Tano kama sijalipa million. Am confused nachomokaje. Dhamana ni Mali ya mtu mwingine.
  2. Z

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya Kidato cha Nne 2025 yanatoka lini?

    Nina Imani kuwa humu jf Kuna watumishi wa Baraza la mitihani. Matokeo ya kidato Cha nne yanatoka lini?
  3. Z

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tumeshuhudia mauaji makubwa Oct 29. Ni kwanini tunataka maandamano tena wakati tunajua watu watapoteza maisha?

    Hivi wewe ulikuwepo Tanzania kweli? Hivi unaweza kuyaita Yale maandamano. Watu walikuwa wanakatwa vidole wakionekana wamepiga kura. Sheli zilichomwa moto Kila kona. Mali ziliporwa... Subiri December 9 mtakiona Cha moto
  4. Z

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tumeshuhudia mauaji makubwa Oct 29. Ni kwanini tunataka maandamano tena wakati tunajua watu watapoteza maisha?

    Kwamba unasema serikali ilishindwa kuwakabili wakati mko mnalilia hapa kwamba watu walikufa. Na rais tunaye tunatamba nae. Kimsingi msije mkaanza kulialia mara ICC. Vita ni vita mura
  5. Z

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tumeshuhudia mauaji makubwa Oct 29. Ni kwanini tunataka maandamano tena wakati tunajua watu watapoteza maisha?

    Yale siyo maandamano ya kudai haki. Yale yalikuwa mapinduzi.. Sasa December 9 tutajaza wanajeshi Kila kona. Mjiandae kuwapokea. Uzuri tumewafungua macho nao wamejua nia yenu ovu. Dawa yenu nyie ni chuma hata mkia laki Moja tupo tayari kuwakabili
  6. Z

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tumeshuhudia mauaji makubwa Oct 29. Ni kwanini tunataka maandamano tena wakati tunajua watu watapoteza maisha?

    Umekosa hoja unaanza matusi... Ujichanganye hiyo December 9 utajua mm nani
  7. Z

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tumeshuhudia mauaji makubwa Oct 29. Ni kwanini tunataka maandamano tena wakati tunajua watu watapoteza maisha?

    Sasa usije kujiliza December 9 tukikushugulikia. Wewe si unadhani risasi ni fimbo subiri December 9 ujichanganye
  8. Z

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tumeshuhudia mauaji makubwa Oct 29. Ni kwanini tunataka maandamano tena wakati tunajua watu watapoteza maisha?

    Kama ulivyopanga na sisi tunapanga kukushugulikia kabla hujachoma nyumba yangu. Kimsingi usije kuanza kulialia mara ICC. we si unataka vita na vyombo vya dola. Karibu tunakusubiri
  9. Z

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tumeshuhudia mauaji makubwa Oct 29. Ni kwanini tunataka maandamano tena wakati tunajua watu watapoteza maisha?

    Kwann kibao ni siyo mwingine. Huyo alikuwa mwanajeshi mstaafu.. alitaka kushiriki kuandaa waasi porini. Nchi yetu kamwe haitokubali kuingia kwenye MACHAFUKO
  10. Z

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tumeshuhudia mauaji makubwa Oct 29. Ni kwanini tunataka maandamano tena wakati tunajua watu watapoteza maisha?

    Tell them the truth.. yaani wanadhani kuipindua serikali ni jambo jepeshi. Wajiandae kufa mamia. Wanataka kuingiza nchi yetu kwenye MACHAFUKO
  11. Z

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tumeshuhudia mauaji makubwa Oct 29. Ni kwanini tunataka maandamano tena wakati tunajua watu watapoteza maisha?

    Kwakuwa lengo lenu limejulikana ni kutaka kuipindua serikali tupo tayari kuwakabili.
  12. Z

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tumeshuhudia mauaji makubwa Oct 29. Ni kwanini tunataka maandamano tena wakati tunajua watu watapoteza maisha?

    Wewe ni mtu mjinga mmoja ambae huna stara kwenye lugha yako. Sina Cha kukujibu. Lakini lengo lenu Tanzania IINGIE kwenye MACHAFUKO. Tumewashtukia tutapambana na nyinyi. Nakuhakikishia December 9 mkifanya vurugu ni mwendo wa chuma.
  13. Z

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tumeshuhudia mauaji makubwa Oct 29. Ni kwanini tunataka maandamano tena wakati tunajua watu watapoteza maisha?

    Mkuu watu hawaandamani kutumia ujumbe. Sote tumeshuhudia oct29 ilikuwa ni vurugu. Walichoma biashara za watu. Walichoma nyumba za watu. Pia nia Yao ni kuipindua serikali. Sasa wakubali kupambana na vyombo vya dola. Wakubali kuwa kuipindua serikali ni uaini ambayo mwisho wake ni kunyongwa au kufa.
  14. Z

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tumeshuhudia mauaji makubwa Oct 29. Ni kwanini tunataka maandamano tena wakati tunajua watu watapoteza maisha?

    Sasa muache kulalamika kuwa watu wanauliwa. Nia yenu n kutaka kuipindua serikali Sasa mkubali kufa
  15. Z

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tumeshuhudia mauaji makubwa Oct 29. Ni kwanini tunataka maandamano tena wakati tunajua watu watapoteza maisha?

    Ukifatilia waliotekwa wote walikuwa na nia mbovu ya kutaka kuingiza nchi kwenye MACHAFUKO. Nchi zote hao wanamalizwa kimyakimya. Muangalie sativa ni very TOXIC.. kazi yake kubet halafu anataka vijana waache kupambania maisha Yao waingie barabarani kuipindua serikali
Back
Top Bottom