Recent content by ze dudu01

  1. Z

    Msuli wa udsm ,sua,na mucco usipime

    kudadek sua ni kiboko
  2. Z

    BVM BVM BVM Ni Nouma

    sijakata tamaa kiivyo..ingawa mambo ni nouma
  3. Z

    BVM BVM BVM Ni Nouma

    duuh kaka kheri Yako wewe unasoma System Ya binadamu mimi Hapa mara Ng'ombe,mbuzi,mbwa,nguruwe,na baadh Ya ndege duuh kichwa kinahisi kupasuka
  4. Z

    BVM BVM BVM Ni Nouma

    yaani badala Ya kutoa ushauri unacheka yaan sijui watanzania mtaendelea lini?
  5. Z

    BVM BVM BVM Ni Nouma

    Kwa Kweli Hii kozi..si Ya kushauri Mtu kuja Kusoma...nilivYokuwa advance nilikuwa nikisikia eti Chuo Utasoma kwa raha Sana kuliko advance but Naona Mambo Yamekuwa vice-versa Mziki wa Chuo ni Nouma Hasahasa BVM leo Lecture Ya Nne Notice Ni Over Biological Science< BS > duuh kuna Hii Part Ya...
  6. Z

    Kwa "1st years" wa universities zote tz: Tunaomba mrejesho kutoka katika vyuo vyenu!

    BVM lecture tatu tu notice over Biological science kwa kweli things are Hard..HIi anatomy ndo inaniua kabisa duu kaz kwelikwel
  7. Z

    Sokoine university of Agriculture

    oya bro njoo room no.4 tufahamiane aise
  8. Z

    Wale ambao hamjaripoti sua

    Oya embu pita hapa room no 4..ita tu ze duduz and then utanideku
  9. Z

    Wale ambao hamjaripoti sua

    we dogo kwa iyo tuko room 1...
  10. Z

    Wale ambao hamjaripoti sua

    niko room 4 block a ka vp njoo tuonane
  11. Z

    Kwa wale wanaojiunga 1st year wazingatie haya

    ushari mzuri binafsi nimeupenda...
  12. Z

    KARIBU SUA 1st year

    akhsaaante kaka....
  13. Z

    Wanafunzi na simu

    ina depend na mwanafunzi mbona mimi nilikuwa na kesha na fb na nimetusua fresh advance level
Back
Top Bottom