Recent content by Ze Bulldozer

  1. Ze Bulldozer

    Kubenea ahoji: Je, Kafulila huyu wa UDART leo ndio yule yule wa IPTL na Escrow? Yeye (Kafulila) amchana kwa hoja nzito Saba

    LEO PAMBA NI TSH800 NAONA KAMA KAFULILA ANAKAUKWELI Ni Kafulila yule yule ambaye akiwa mkuu wa mkoa wa Simiyu, mkoa ambao asilimia 70 ya Pamba ya Tanzania inatoka huko ni yeye aliyeza kudhibiti vyama vya ushirika na mfumo mzima wa ununuzi wa pamba, ambayo iliwafanya wakulima kuuza pamba yao...
  2. Ze Bulldozer

    Serikali imeanza kuingiza udini katika sera zake? Suala la masomo ya kiislamu na Divinity yanatoka wapi?

    Hapana hii sio sawa Taifa hili halina dini, Kama mtu anataka kusoma hayo masomo aende kwenye shule zinazotoa hayo masomo na ziwe ni shule binafsi.
Back
Top Bottom