umetufunza sahihi kabisa dear member,,,ila kuhusu yesu kufa na kwenda kuhubiri roho za wafu umeelewa tofauti na kutafsir maandiko kinyume na maana,,ningkujb sawasawa na msingi wa fungu la biblia ulilojngea hyo hoja,ila nmeacha ili ukpnda tujfnze zaid,basi uweke aya za biblia znazokufndsha...