Binafsi Naona Mke ndio amekuokoa. Kwanini usitumie nyumba kama dhamana, ukope bank ufanye hiyo biashara? Au ni Hadi uuze ndio hiyo biashara inafanyika?
Habari za Leo Wanajukwaa Wenzangu. Nimewiwa kuleta kwenu Mada hii baada ya kufwatilia kwa kina Mwitikio wa Wananchi katika Kudai Mabadiliko ya Mfumo wa Uchaguzi. Katika Ufwatiliaji Wangu, nimegundua yafuatayo:-
1) Kutokana na Hali ya Mambo Ilivyo, Wananchi Wengi Wana Kiu Kubwa ya Kuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.