Recent content by Zapa RadioFm

  1. Zapa RadioFm

    Ushauri na Malalamiko kwenye Idara ya TANAPA Kuwanyanyasa wafanya Biashara ya UTALI Tanzania

    Napenda kutowa malalamiko yangu kuhusu nyie TANAPA mnavyowasumbua Tour Operators kwenye maswala ya malipo wakati wanapotaka kuwapeleka watalii kwenye mbuga zenu za wanyama au Kilimanjaro. Kwanza muelewe kwamba kupata hao watalii ni kazi kubwa mno na tunatumia gharama kubwa pia. Pamoja na...
  2. Zapa RadioFm

    Arusha: Mfanyabiashara wa magari maarufu jijini Arusha afikishwa mahakamani kwa kuwatapeli watu zaidi ya 10

    MFANYABIASHARA maarufu jijini Arusha,Vicky Laurent Mcharo(40)Mkazi wa Sakina jijini Arusha,amefikishwa katika Mahakama ya mwanzo Maromboso akikabiliwa na kesi tano za Utapeli na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu zaidi ya milioni 35. Mfanyabiashara huyo alipandishwa kizimbani mapema leo...
  3. Zapa RadioFm

    Tetesi: Mwendelezo wa Kununua Watumwa: Mbunge wa Simanjiro James Ole Millya Kuhamia CCM

    Mbunge wa Simanjiro James Ole Millya,kuhamia Chama cha Mapinduzi muda wowote kuanzia sasa. Millya ni miongoni mwa wabunge wa Upinzani wenye ushawishi kanda ya kaskazini kutokana na uzoefu wa siasa za kanda hiyo.
  4. Zapa RadioFm

    Tetesi: Siku 7 Zijazo Mbunge Mwingine wa Babati kutimkia CCM

    Kuna Taarifa tunaendelea kuzifatilia zinasema Mbunge mwingine wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Ameshafikia Bei La fungu na Mandalizi ya Mwisho yanaendelea na Ndani ya siku Saba kwanzia Leo atatimkia CCM Tunaendelea kufatilia Tutawajuza nini Kinaendelea
  5. Zapa RadioFm

    Hivi vita ya kiuchumi ni ku eliminate,kauli za vitisho,kuingilia uhuru wa Bunge,Mahakama na freedom of speech?

    HIVI VITA YA KIUCHUMI NI KU ELIMINATE,KAULI ZA VITISHO,KUINGILIA UHURU WA BUNGE,MAHAKAMA NA FREEDOM OF SPEECH? Wote ni mashaidi kuwa Rais amekuwa akitoa kauli zenye utata na nyingi sijui kwa faida ya nani?. Rais alitoa kauli kuwa kuna mtu alikuwa akijipatia million 7kila baada ya dakika...
  6. Zapa RadioFm

    Tetesi: Kada marufu na Kiongozi wa CCM Arusha kwenye Kashafa yakubaka

    Kada maarufu na aliyewai kugombea ubunge kwenye kura za mchujo kupitia Chama Cha Mapinduzi jijini Arusha Thomas Munisi ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa kata ya Themi jiji la Arusha ameingia kwenye kashfa ya kubaka mtoto ambapo habari zinasema tukio hilo lilitokea maeneo ya KIA na Mererani na...
  7. Zapa RadioFm

    Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Kihamia avuruga kikao cha baraza la Madiwani

    Katika hali ya kutafuta ukweli kuhusu Mkurugenzi kuvuruga kikao cha jana, ilinilazimu kuwatafuta madiwani kuwahoji kwanini kulitokea sintofahamu? Baadhi ya madiwani niliohojiana na waliomba nisitaje majina yao hadharani walisema yafuatayo; Mkurugenzi na bwana yule wa Wilaya na Mkoa wana...
  8. Zapa RadioFm

    Figisu Figusi za Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Zashika Kasi

    Ukistajabu ya Musa Utayaona ya Mkurugenzi wa Jiji la Arusha
  9. Zapa RadioFm

    Ziara ya Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kwenye Kata za Jiji la Arusha part two

    Hana mamlaka ya Kuzuia mikutano ya mbunge katiba ndio inamruhusu
  10. Zapa RadioFm

    Ziara ya Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kwenye Kata za Jiji la Arusha part two

    Mbunge wa Arusha mjini Godless lema ataendelea na ziara kwenye kata mbalimbala za jiji la Arusha kama zinavyojionyesha hapo kwenye ratiba
  11. Zapa RadioFm

    Meya wa Arusha akutana na meya wa Nairobi na kuongelea ushirikiano wa biashara

    Kwa siku mbili: - 12- 13 Oktoba, Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mh Kalisti Lazaro akiambatana na Katibu wa Kanda ya Kaskazini Mh. Amani Golugwa na Wafanya biashara wa Arusha wapatao 15 walikua na ziara muhimu jijini Nairobi, Kenya. Wakiwa Nairobi, waliweza kukutana na Gavana wa Nairobi Mhe...
  12. Zapa RadioFm

    Ratiba ya Mikutano ya Hadhara ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema

    Kwanzia Kesho Mbunge wa Arusha Mjini Atakuwa na Mikutano ya hadhara kwenye kata zifuatazo ratiba hii ni endelevu kwenye kata zote za jiji la Arusha Mjini tutawaletea jinsi tunavyopata
Back
Top Bottom