Recent content by zange

  1. zange

    JamiiForums Tanzania Kashfa Mchanga wa madini; wafuatao nao wachunguzwe

    Who is responsible under MAKINIKIA Kwa nionavyo hapa katika jambo hili la huu Mkanganyiko uliopo sasa kati ya Serikali na wawekezaji kuna watu ambao Direct wanatakiwa wajiwajibishe wenyewe kabla hawajawajibishwa 1...Makatibu wakuu wote walio wahi kuhudumu katika katika Wizara hiyo Tangu mwaka...
  2. zange

    JamiiForums Tanzania IKULU: Rais Magufuli apokea ripoti ya uchunguzi wa mchanga wa madini. Amtaka Waziri Muhongo ajiuzulu

    Japokuwa Mh.Rais kafanya maamuzi hayo tunatakiwa kujirudi upya tuanze kuangalia kwenye Mikataba yetu ya Madini isije ikawa kama Yale ya DOWANS,IPTL,SAMAKI WA MAGUFULI
  3. zange

    JamiiForums Tanzania IKULU: Rais Magufuli apokea ripoti ya uchunguzi wa mchanga wa madini. Amtaka Waziri Muhongo ajiuzulu

    Miaka 18 Tumeibiwa (B.829.4 x 12)18 =B.179150.4 Trilioni 179.15 ukigawa kwa Bajeti yetu ya 29.5 2016/17 utakuta kuna 6 years Means kwa kiasi hicho cha pesa ni sawa na Bajeti ya Miaka 6 ya Tz hayo ni makadirio ya Chini Kwakweli tumepigwa sana from 1998 uptodate KONGOLE MAGUFULI
  4. zange

    JamiiForums Tanzania Natafuta Msichana Mrembo kabisa nioe

    Sasa hizi akili zikapimwe then zije na huku
  5. zange

    JamiiForums Tanzania Natafuta Msichana Mrembo kabisa nioe

    Waterloo akikuja inbox itakuwa na majibu
  6. zange

    JamiiForums Tanzania Natafuta Msichana Mrembo kabisa nioe

    Kama umepita katika maelezo yangu nimeweka namba yangu for more details
  7. zange

    JamiiForums Tanzania Natafuta Msichana Mrembo kabisa nioe

    N maamuzi from my heart siyo masihala
  8. zange

    JamiiForums Tanzania Natafuta Msichana Mrembo kabisa nioe

    Sina maana hiyo Mis
  9. zange

    JamiiForums Tanzania Natafuta Msichana Mrembo kabisa nioe

    Sidhan kama napaswa kushambuliwa but nimesema if nmekukwaza u can pass Bila comments ndo maana nimeweka namba ili mtu anitafute kwa phone namba sihitaji Malaya na awe tayari kupima VVU
  10. zange

    JamiiForums Tanzania Natafuta Msichana Mrembo kabisa nioe

    N kweli n kwamba naogopa sana zinaa ndiyo maana am begging u ...so kama am wrong I ask after excuse
  11. zange

    JamiiForums Tanzania Natafuta Msichana Mrembo kabisa nioe

    Namba nimeweka is 0713208872....0759916541 am seriously please
  12. zange

    JamiiForums Tanzania Natafuta Msichana Mrembo kabisa nioe

    N kweli mpaka nmekuja huku nimeshafanya tafiti sana na kimsingi nakuwa bze San na kazi sasa nkirudi usiku nakos hata wa kunipa pole nataka hata niwe naandaliwa nyumbani kama hela ninayo lakini kutumia peke angu shida
  13. zange

    JamiiForums Tanzania Natafuta Msichana Mrembo kabisa nioe

    Kwa kuwa Moja ya kazi za mitandao ni kutuunganisha watu wa aina tofauti tofauti basi nami nitumie Hii nafasi adhimu nilyonayo Natafuta msichana Mzuri wa sura pamoja na tabia ili niweze kumfanya kama Mke wangu seriously Niko Mwanza kikazi ila Nyumbnai Iringa naomba yeyote anaeweza kuwa na...
  14. zange

    JamiiForums Tanzania CHADEMA acheni siasa kwenye masuala ya kitaifa

    Noo jukumu gan serikali imechukua acha uongooo
  15. zange

    JamiiForums Tanzania Confession: Ilikuwaje ukatembea na mke/mme wa mtu?

    Mpaka Leo Niko hapa Mwanza kuna mke Wa MTU kanitafuta tangu 2015 mpaka Leo na nlikuwa namkwepa lakini 7.5.2017 alinishawishi nikutane naye maeneo ya kwao nlijivunga sana lakini nikajikuta naenda kwa Moja kwa Moja Nlipofika pale alinipokea kwa furaha sana nami nlionesha ushirikiano lakini baada...
Back
Top Bottom