Kama unavonyoa wewe tu zile nywele za chini ya korodani na juu yake...
Au kwapani...
We itakuwa hujichambi wewe mana kama unaweza kufikisha mkono kwa kujichamba vipi uulize kunyoa
Kwa hyo kufuga zile ni usafi au ??
Nimeandika kwa sababu wanaume wengi wamelisahau hili na kuona kama ni uanaume kufuga kumbe sio bali ni katika uchafu ule
wana jf nadhani wazima mnoo..
Juzi hivi niliandika uzi kuhisu kunyoa nywele za makalio pale kati kati watu wakakoment mnoo wengine wakidhani mimi labda nina element za ushoga .
Ila haya yote wana jf tu wala sikuyatilia maanani....
Waliopinga waliweka hoja zifuatazo
HOJA ZAO:wanasema hii...
Hoja hii dhaifu mnoo pia nilisahau kuiweka..
Nikuulize
Wanawake hizi huwa hawana sasa wavi wanakata na nini???
Au wale ngozi yao ngumu hvyo haiitaji msaada wa nywele zile kisha sisi iwe bila zile nywele ndo mavi hayakatiki??
Tuna ngozi laini inayoshindwa kukata hatamavi sio??
wana jf nadhani wazima mnoo..
Juzi hivi niliandika uzi kuhisu kunyoa nywele za makalio pale kati kati watu wakakoment mnoo wengine wakidhani mimi labda nina element za ushoga .
Ila haya yote wana jf tu wala sikuyatilia maanani....
Waliopinga waliweka hoja zifuatazo
HOJA ZAO:wanasema hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.