Recent content by Zamma91

  1. Z

    'Ujinga' wa Ikulu unarudi kwa kasi

    Nitarudi baadaye kuona matusi...!!
  2. Z

    Uspika na rangi halisi ya Dr Tulia Ackson

    Kuna watu humu bila kutaja jina la Lowassa hawajiskii vizuri! Acheni umbea nyie watu..!!
  3. Z

    Mkuu wa Majeshi, Davis Mwamunyange kuwasili nchini 16th Oct, baada ya ziara nje ya nchi

    Hii nchi imenishinda! Ngoja nitafute nchi nyingine ya kuhamia kwa mkopo! Yaani CDF atue airport huku kuna uvumi Mkubwa kama huu, asifanye hata press conference ya dakika 3. Only happen in Tanzania!!
  4. Z

    Siyo ishara njema: Magufuli azomewa Mwanza

    Duuuuh! Ni hatari!
  5. Z

    Spencer Lameck Leo Kutupa Raha ITV Habari

    Spencer Lameck! Heshima kwako Mkubwa! Nakuombea uje uwe nguri wa habari kama Tido Mhando!!
  6. Z

    Yaliyojiri Mkutano wa Edward Lowassa, Musoma mjini - Oktoba 11, 2015

    Duuuuh! Ni hatari! Kweli ukombozi umekaribia...!!!
  7. Z

    Kwanini habari za Mgombea Urais wa CHADEMA zinaonekana kuwagusa makundi ya watu wengi?

    Nakwambia ni hatari! Dunia nzima sasa ni LOWASSA-MABADILIKO TU!
  8. Z

    Polisi wazuia matembezi ya amani ya BAWACHA Dar es Salaam

    Hiyo barua ya kukataza maandamano itakuwa imetoka Lumumba!
  9. Z

    Lowassa tutakuchagua utupe haki zetu na tulipwe madai yetu sisi watumishi

    Acha kupotosha watu! Kama umekosa cha kuandika kaa kimya!
  10. Z

    Hivi ni kweli Lowassa analipa kisasi?

    Huyu mtu anayejiita Johnson Mbwambo sijui ana tatizo gani na Lowassa!
  11. Z

    Yanayojiri Monduli: Mkutano wa Edward Lowassa - Uwanja wa Barafu Mto wa Mbu

    Nameloki Sokoine atulie tu! Asubiri Mzee akiwa raisi atampa kitengo kingine...!!!!
  12. Z

    Nini maoni yako" specificaly" kuhusu kauli hii ya Nape?

    Nape alishalaaniwa! amebakia kuvua nguo hadharani tu...!!!
Back
Top Bottom