Kama unalolisema ni sahihi chama chako kisingekosa usingizi na kupambana na Lissu. Kuteka wapinzani ni moja ya indication kuwa upinzani una nguvu kuliko chama chako. Kushindwa kukubali kurekebisha katiba na kuwa na tume inayopendelea CCM ni dalili za wazi kuwa chama kimeshindwa kujiamini...
Kama haujjavutaa bangi wewe basi akili zako hazikutoshi. Pole sana. Watawala waliojidhania kuwa wao ni miungu siku moja hawakuamini yaliyowakuta. Ni swala la muda tuu
Hii nchi inashangaza sana. Kwani hoja za msingi hatushangilii sana wala kusimamia. Haina afya kwa kweli, kusimamia mambo ya hovyo ni kukiua taifa letu na kuendelea kuwafanya watu wetu kuwa watumwa. Maana ya uhuru tumeshaipoteza. EE MUNGU TUSAIDIE
Ni swala la muda tuu. Kutokana na mifumo mibovu ya elimu na nature ya upole uliopitiliza wa watz, mpaka kupelekea kuwa makondoo kiasi cha kutoweza kijipigania. Yuko mbinguni Mungu wa haki atatupigania. Siku moja kila mtu atashangaa mifumo yote ya kidhalimu inafelli.
Je alik
Alikuwa mgonjwa? Aliumwa nini?
Lini? Mbona mnatuchanganya Huu mwaka huu, tutaona mengi sana. Uchaguzi huu tutapoteza watu tunaowafahamu sana huu
Tutajie majina ya
Tutajie majina yao ili tukubaliane na wewe kuwa unachosema ni sahihi, vinginevyo hizo ni habari za kupika tuu.
Unaweza kuhesabiwa kuwa huo ni uvumi tuu
Mtoa mada naomba nikuulize swali. Demokrasia iliyoshamiri ndiyo hiyo ya kuteka wapinzani? Kuwabambikia kesi au ni demokrasia ipi? Wanaokosoa wanapopotezwa na wasiojulikana ndio demokrasia?. Au hayo matukio unajifanya hauyaoni? Mungu anakuona.!!! Unakuwa chawa kwa kiwango cha lami 😭😭😭😭😭😭
Hapo umesema ndiyo maana watawala hawalali usingizi. Kila siku wanajaribu mbinu za kuinyamazisha. Na kama watashindwa safari hii. I tell u. Watakufa wao. Maana mwenda zake alitumia mbinu chafu nyingi sana lakini yaliyomkuta kila mtu ni shahidi. Na sasa ni kama wanaanza kuamini kuwa wameshinda...
Huna akili kabisa wewe. Kama uenyekiti wa vitongoji na vijiji kaua watu ili kudhibiti wapinzani sembuse ubunge na udiwani. Kumbuka hao wenyeviti hawalipwi chochote, hao wabunge wanalipwa 18M kwa mwezi. Nina mashaka wewe hazikutoshi, waache CDM wafanye wanayoyaona yanafaa kwa mustakabali wa chama...
Kuwa mpinzani sio uadui. Watu wapingane kwa hoj. Hapo ndipo Tanzania tuna feli. Chuki zote tunazoziona kati ya chama tawala na upinzani ni hiyo hali ya kukosa tafsiri halisi ya UPINZANI. Huku watu walio wengi wakiamini kuwa upinzani ni uadui . Na kutoka hilo eneo la uelewa itatuchukua miaka...
Inasemekana kuwa jamaa alipigwa Mkwara na bi Kizimkazi. Akaambiwa futa kauli yako na waambiwe wananchi wako kuwa sitagombea. Akalazimika kutangaza kauli nyingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.