Recent content by Zamazangu

  1. Zamazangu

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Shida ninauoiona ni watanzania kuongea sana lakini ukifika wakati wa uchaguzi hauwaoni wakipiga kura. Hii ni changamoto. Tubadilike. Maneno hayawezi kubadili chochote
  2. Zamazangu

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Alikuwa anaruka ruka, hoja zenye utata na zilizotengenezwa kwa maslahi yao mapana huwa hawazigusi hata kidogo. Utasikia tumepokea maoni yako tunayafanyia kazi
  3. Zamazangu

    CAG: Wastaafu na wenza wao wanaigharimu NHIF Tsh 84.7 billion kila Mwaka Bila Wao kuchangia

    Jambo hili litavaliwa njuga na kutafutiwa ufumbuzi ambao bila shaka itakuwa wastaafu kukatwa kwenye pensheni yao. Lakini wastaafu wakubwa wa taifa hili kulipwa mishara na wenza wao sio ishu. Mungu atusaidie sisi watanzania na lichama letu tawala lisilo na huruma
  4. Zamazangu

    Mbunge Nicodemus Maganga: Viongozi wa Kata na Vijiji Msikubali Wananchi Waonewe

    Wanatafuta umaarufu kutoka kwa wananchi
  5. Zamazangu

    Gongo la Mboto 2025: CHADEMA wadai mambo 2 tu kwenye Sheria ya Uchaguzi

    Labda waamuke siku hiyo wakiwa wamechanganyikiwa na hawajielewi. Lakini wakiwa na akili timamu hawawezi kudiriki hata kuwaza hivyo. Ni sawa na kujitia kisu kooni
  6. Zamazangu

    Demokrasia ni utawala wa walio wengi. Sensa inaonyesha Tanzania wengi vijana inakuwaje viongozi wa vyama vya siasa na serikalini na bunge vizee ngwe?

    Mfumo wa Elimu unaweka mazingira butu kwa vijana kujihusisha na siasa au uongozi wa nchi yao. Elimu ya uraia sio muhimu katika shule na vyuo. Hivyo tusitarajie kuona mwamko mkubwa katika siasa kutoka kwa vijana. Mungu atusaidie
  7. Zamazangu

    Mtwara: Msimamizi wa Uchaguzi mdogo kata ya Chipuputa akamatwa na kura feki, Polisi wamlinda

    Hawa jamaa bila kuiba kura hawatoboi , na hawajawahi kutoboa. Wenyewe wanajua kabisa bila kuiba hawawezi kushinda. Tuna safari ndefu sana ili kufikia kwenye lengo la haki
  8. Zamazangu

    Mtwara: Msimamizi wa Uchaguzi mdogo kata ya Chipuputa akamatwa na kura feki, Polisi wamlinda

    Wanaoandamana walionekana wajinga labda sasa tutaanza kuwaelewa
  9. Zamazangu

    CHADEMA kujifungia kwa saa 48 kujadili Azimio la Mtwara

    Kwa vyovyote vile, kuwepo kwa upinzani nchini ni muhimu sana kwa mustakabali wa taifa. Kuna namna ambayo sisi kama taifa tukiondoa itikadi zetu tunaona tofauti kati ya wakati upinzani ulipokuwa na nguvu (2015 -2020) na hali ilivyo sasa. Ule uwezo wa kuisimamia serikali imedorora sana. Hivyo wale...
  10. Zamazangu

    Nani alipona tatizo la kuota unafanya mapenzi ndotoni?

    Nenda kwa mchungaji alieokoka akuombee. Unasumbuliwa na jini wa kike kama wewe ni mwanaume, au jini wa kiume kama wewe ni mwanamke. Majini hao wanatabia ya kushirikiana na watu wakiwa ndoto ni. Damu ya Yesu na maombi inamaliza hilo tatizo
  11. Zamazangu

    Pamoja na mtambo no 9 kuwashwa, na kuwekwa, megawati 235, tatizo la umeme lazidi kuongezeka Tunduru

    Hii nchi kila kitu ni siasa, kama wanasiasa walisema upungufu wa umeme utaisha mara baada ya kuwasha kinu namba 9, na kimeshawashwa na bado mgao upo, lazima tuanze kuamini kuwa yamkini tumepigwa. Kauli ya awali ilikuwa ya kisiasa na matokeo yake yatakuwa ya KISIASA. MUNGU Isaidie nchi yangu Tanzania
  12. Zamazangu

    CHADEMA njia Panda, Mikoa yote Tanzania inataka Maandamano ya Amani. Wadai Mikoa Minne pekee haitoshi

    Jibu kuntu, kuna watu ni mazwazwa hata hawajui kulinganisha mambo. Umempa za uso
  13. Zamazangu

    Bashe, Tofauti ya Sukari Kutoka Brazil vs itokayo Zambia na Uganda ni ipi?

    Wewe unaesema kweli mbona bei inazidi kupaaa?
Back
Top Bottom